LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
Katika pilika zetu wanaume, huwa tunajaribu bahati zetu kwa wa dada mbalimbali.
Wengi kama siyo wote hukataa siku ya kwanza unapoingiza gia yako.
Baadhi katika kukataa hutoa majibu ya upole na hekima kama vile ana mtu wake.
Baadhi hujibu kwamba hawataki na kupiga kimya.
Baadhi hukataa na kufuatiwa na maneno mengi sana, kama wewe una nini, Jiangalie kama unahadhi yangu, n.k.
Watu wengi husema kwamba, anayekataa kwa maneno mengi sana huwa anaonyesha kwamba yeye siyo Maharage ya Mbeya, ili aonekama wa thamani. Kwa hiyo ukimfukuzia kwa muda, huwa wanakubali kiraisi tu na ukimwacha anaweza kuja kuuliza kama ulikuwa unamtania tu, na hukasirika sana.
Je, kuna ukweli hapo?
Nawakirisha WanaJF
Wengi kama siyo wote hukataa siku ya kwanza unapoingiza gia yako.
Baadhi katika kukataa hutoa majibu ya upole na hekima kama vile ana mtu wake.
Baadhi hujibu kwamba hawataki na kupiga kimya.
Baadhi hukataa na kufuatiwa na maneno mengi sana, kama wewe una nini, Jiangalie kama unahadhi yangu, n.k.
Watu wengi husema kwamba, anayekataa kwa maneno mengi sana huwa anaonyesha kwamba yeye siyo Maharage ya Mbeya, ili aonekama wa thamani. Kwa hiyo ukimfukuzia kwa muda, huwa wanakubali kiraisi tu na ukimwacha anaweza kuja kuuliza kama ulikuwa unamtania tu, na hukasirika sana.
Je, kuna ukweli hapo?
Nawakirisha WanaJF