Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Katika gazeti la Mwana Halisi toleo la leo no 163, lina kichwa cha habari kuwa akina, Rostam, Karamagi, Somaiya, na wengineo wamechaguliwa na Sekretariate ya CCM iliyo chini ya Uenyekiti wa Makamba. CC inasubiriwa ku-approve. Hii, imekaaje jamani. Mafisadi wanaweza kutenganishwa na hiki chama? Na je, kunadhamira ya dhati ya CCM kupambana na Ufisadi?