Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
hey!pamoja na jitihada zetu kwenye malezi tuwaombee sana watoto wetu
Amen mpendwa wangu! Haya mambo ya sasa na huu utandawazi kwakweli bila nguvu za Mungu ni kazi bure!!
hey!pamoja na jitihada zetu kwenye malezi tuwaombee sana watoto wetu
Mtoto wa jirani yangu anasoma form II, kaiba laptop ya baba yake, dola 3,500/=, shilingi milioni moja na laki saba.
Baba yake kagundua, kam'bana na kumsindilia kichapo. Dogo kasema kuwa eti nataka kwenda South Africa akafanyiwe upasuaji awe mwanamke.
Baba yake kusikia hivyo presha zikampanda akaanguka na kuzimia
eeh mola msamehe mja wako
maskini weee,keshatutoka huyo!!ana macho mazuri sana, na sura nzuri kuliko za dada zake
masikini wamesha m-cameron huyo mtoto.
labda bado hajakameruniwa. Nasikia ukionja tu kukameruniwa utataka ukameruniwe kila dakika
Utandawazi huo.Mtoto wa jirani yangu anasoma form II, kaiba laptop ya baba yake, dola 3,500/=, shilingi milioni moja na laki saba.
Baba yake kagundua, kam'bana na kumsindilia kichapo. Dogo kasema kuwa eti nataka kwenda South Africa akafanyiwe upasuaji awe mwanamke.
Baba yake kusikia hivyo presha zikampanda akaanguka na kuzimia
Wandugu, inabaidi tumuombea Mungu kwa ajili ya ndoa na familia zetu, na hasa watoto wetu! I am trying to figure out ningefanya nini kama mi ndo ningekuwa baba wa huyo mtoto.
Ana akili saana huyo dogo.