Eti awe mwanamke.

Mtoto wa jirani yangu anasoma form II, kaiba laptop ya baba yake, dola 3,500/=, shilingi milioni moja na laki saba.
Baba yake kagundua, kam'bana na kumsindilia kichapo. Dogo kasema kuwa eti nataka kwenda South Africa akafanyiwe upasuaji awe mwanamke.
Baba yake kusikia hivyo presha zikampanda akaanguka na kuzimia

eeh mola msamehe mja wako

ameen, anamaanisha $ 3,500 :(
 
Mtoto wa jirani yangu anasoma form II, kaiba laptop ya baba yake, dola 3,500/=, shilingi milioni moja na laki saba.
Baba yake kagundua, kam'bana na kumsindilia kichapo. Dogo kasema kuwa eti nataka kwenda South Africa akafanyiwe upasuaji awe mwanamke.
Baba yake kusikia hivyo presha zikampanda akaanguka na kuzimia
Utandawazi huo.
 
Wandugu, inabaidi tumuombea Mungu kwa ajili ya ndoa na familia zetu, na hasa watoto wetu! I am trying to figure out ningefanya nini kama mi ndo ningekuwa baba wa huyo mtoto.
 
Back
Top Bottom