BRO LEE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2011
- 826
- 600
Unatakiwa kusoma alama za nyakati, huyo binti hana mapenzi na wewe kabisa alichohitaji ni kukutumia ili afikie malengo yake!..
Shukuru amefeli kidato cha nne, ungesomesha halafu jamaa waje wachukue kiulaini. Hata sasa anatafuta pa kupumulia kwa kuwa ana tatizo. mwaanamke wa aina hiyo hata km utamwoa hatakuwa mwaminifu ni mnafiki tu.
Shukuru amefeli kidato cha nne, ungesomesha halafu jamaa waje wachukue kiulaini. Hata sasa anatafuta pa kupumulia kwa kuwa ana tatizo. mwaanamke wa aina hiyo hata km utamwoa hatakuwa mwaminifu ni mnafiki tu.