Eti anaoteshwa?

JICHO LA TATU
Nashukuru kwa kunielewa na kutambua mchango wangu. Kwa ufupi ni kwamba quacks kama hawa ni wengi sana kwenye dini siasa hata maisha. Ana lake huyo na mtolee uvivu umwambie kuwa wewe huamini katika ndoto na ushirikina. Na ukiona anakusumbua mwambie una mchumba tayari. Mtafadhalishe kuwa unamheshimu sana na ungependa heshima yenu iendelee lakini asizidi hapo.
 
Tabu ya nini! WE MUOMBE 1M ULIPIE KODI YA NYUMBA!!!! Hatokaa akusogeleee, atakuwa anapita mbali. Ukiendelea kumkataa kistarabu mwenzio anaona UNAZUGA TU ILI USIMKUBALI HARAKA HARAKA!!!! Bugdha hazitoisha, dawa ni hiyo hapo INATIBU AINA ZOTE ZA PENZI LISILOTAKIWA!!!! LOLEST!



Ok ntajaribu nione itakuwaje
 
ni kweli kabisa ndoto zipo.

Mie kweli nimeoteshwa, kuna mtu mmoja anatakiwa ananiii, ngoja nikamwambie kabla ndoto haijaeksipaya.
 
Kama humtaki mwambie point blank kuwa HUMTAKI, mambo ya ndoa siyo ya kubahatisha. Kwanza mwongo, uongo huo huwa wanautumia walokole akitaka kumpata mtu. Acha biashara hiyo kabisa, ni ushetani afadhali angelisema nakupenda, lakini ya kuoteshwa anataka akuonje akutupilie kwa mbali!

mmmmh mwenzangu sio walokole wote wanantumia hiyo...na hajasema kama huyo kaka ni mlokole au lah...na kama ni mlokole kila kanisa lina utaratibu wake kuhusu suala hilo..by the way suala la ndoto kuhusu ndoa nowadays its very rare..(japo inawezekana) coz Mungu ana njia nyingi za kusema / kmjibu mtu amwombaye...lakini kwa 7bu ya udanganyify mwingi..ndoto sio za kuamini sana...naam kama walivosema wengine kama Mungu kamwonesha katika ndoto naam nayeye dada inabidid huyo Mungu amwoneshe katika ndoto otherwise...huo ni usanii wa kawaida tuh!
 
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.
...sanaa zingine bana, si mtu aseme ukweli tu kwamba amependa? kwani kila unachokiota lazima ukubaliane nacho!!!
 
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.

Mbona hiyo simple, mwambie nimepima ngoma majibu yangu siyaelewi. Kama kweli atakuwa ameoteshwa hatakata tamaa maana Bwana hafanyi makosa.
 
mmmmh mwenzangu sio walokole wote wanantumia hiyo...na hajasema kama huyo kaka ni mlokole au lah...na kama ni mlokole kila kanisa lina utaratibu wake kuhusu suala hilo..by the way suala la ndoto kuhusu ndoa nowadays its very rare..(japo inawezekana) coz Mungu ana njia nyingi za kusema / kmjibu mtu amwombaye...lakini kwa 7bu ya udanganyify mwingi..ndoto sio za kuamini sana...naam kama walivosema wengine kama Mungu kamwonesha katika ndoto naam nayeye dada inabidid huyo Mungu amwoneshe katika ndoto otherwise...huo ni usanii wa kawaida tuh!

You are right, sio walokole wote. Lakini nina mifano mizuri tu ambayo walokole walifanya kuoteshwa, lakini alipofanikiwa akasema lililo rohoni. Mpendwa, mbona tunaota kila siku mambo mengi mazuri/ mabaya /ya ajabu. Unaweza kuota umelala na mke wa fulani (samahani kwa mfano huu) for example, swali: utatoka na kumwambia mke wa mtu kuwa umeoteshwa naye hivyo mfanye!! Nonsense!
 
Tabu ya nini! WE MUOMBE 1M ULIPIE KODI YA NYUMBA!!!! Hatokaa akusogeleee, atakuwa anapita mbali. Ukiendelea kumkataa kistarabu mwenzio anaona UNAZUGA TU ILI USIMKUBALI HARAKA HARAKA!!!! Bugdha hazitoisha, dawa ni hiyo hapo INATIBU AINA ZOTE ZA PENZI LISILOTAKIWA!!!! LOLEST!

uko sahihi kabisa, yaani kama mwanaume humtak mwambie kuhusu hela yaani hutokaa hata uskie simu yake. ni njia nzuri sana ya kukimbiza mapenzi usoyataka
 
Muambie na wewe umeota amekuoa na usiku baada ya harusi amebakwa na wanaume wenzake hadi akafa... so hutaki eda na uwe mjane wewe....
 
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.

Ana pepo huyo. Hizo ni njia tu za kukudanganya mwambie aendelee kuota akishtuka kwenye ndoto atajua la kufanya.
 
Tabu ya nini! WE MUOMBE 1M ULIPIE KODI YA NYUMBA!!!! Hatokaa akusogeleee, atakuwa anapita mbali. Ukiendelea kumkataa kistarabu mwenzio anaona UNAZUGA TU ILI USIMKUBALI HARAKA HARAKA!!!! Bugdha hazitoisha, dawa ni hiyo hapo INATIBU AINA ZOTE ZA PENZI LISILOTAKIWA!!!! LOLEST!




Nimejaribu kumwambia amesema eti BWANA ATATENDA
 
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.

alafu huyu muwongo kama anaoteshwa inakuwaje kuwa anashindwa kulala!? ili uote sii lazima ulale ama?
wee mwambie utanila ndotoni tuulakini mzigo huu huupati ng'oo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom