Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Mengi yameongewa juu ya maandamano na ziara ya viongozi wakuu wa CHADEMA pamoja na baadhi ya wabunge wao katika kanda ya ziwa. Baada ya ziara ya mwisho ya CHADEMA mkoani Kagera, Waziri Mkuu (ajiitaye mtoto wa mkulima) alianza ziara mkoani humo. Wengi walidai kuwa hiyo ni ziara ya kufuta nyayo za CHADEMA.
Sasa angalia katika hii picha, kisha toa maoni yako.Huu ulikuwa ni mkusanyiko uliokuwa unamsikiliza Mh. Pinda, na hao walioko hapo mbele walikuwa wanamuuliza Pinda maswali.
Sasa angalia katika hii picha, kisha toa maoni yako.Huu ulikuwa ni mkusanyiko uliokuwa unamsikiliza Mh. Pinda, na hao walioko hapo mbele walikuwa wanamuuliza Pinda maswali.