BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,021
Dah! Ndio maana nikawa nakustua uje mapema sababu pilau liko mezani tayari
Hapa nimeshiba mpaka nacheza mziki kuchangamka, pilau la sikukuu si mchezo!!..naona sitakula mpaka kesho jioni, ha ha
Mleta mada: Itakuwa unampenda huyo dada nawe, kama vipi mkamilishe mambo kuwa wote si kukomoana..kama humfeel mwambie achukue 50 zake simple!!