Rudia mara mbili utaelewa mkuu, DJ nimechoka sana leo.
Kuna wadada wanamtaka jamaa, lakini mmoja ndoo kamua kufanya kila liwezekanalo kutibua kila kitu ili wakose wote maana yeye dalili za kumpata jamaa zimesha fikia zero.
Tunahitaji semina elekezi kueleza tofauti ya JF na FB!
Nakupa kazi hyo Lizzy, utakuwa facilitator!
Ina maana lizzy hujawahi gombania mwanaume??
Sijawahi....sina mpango na wala sitarajii itokee.
Kwa lipi haswa????Mwanaume mpaka akuweke kwenye position ya kumgombania na mwanamke mwenzako maana yake ni kwamba yeye ameshindwa kuchagua na anawachezea wote...yani sio wewe wala huyo mwenzako mwenye maana kwake...huo muda kukubali kufanywa mjinga unatoka wapi?
Heheheh....staki mie.
Mwisho ntaambiwa na WIVU.
Lizzy naamini hujapenda bado.
hahahahahahaha kama yaliyokukuta kwenye sred ya Bebii, masikini kumbe ilikuuma hahahaha pole jamani ila na wewe umezidi umontress wangu.
Unalo!
Ni kweli ukipenda kweli unavishwa kaujinga fulani. Lakini nisikukatishe tamaa, kupenda ni haki yako ya msingi kikatiba.