Wadau,
Naona kuna watu wakiwa wanapost kwenye threads mbalibali huandika :A S 13: kwenye post zao.
Hivi maana yake nini?
:a s 13::a s 13:
sasa ndio mtuambie ni kitu gani ili nasi tupate jua,...maake hata mm sijui kitu kama ndugu yangu sijui kitu
Vingine ni mikwala havina haja ya kuumiza kichwa mwana kwa raha zako!
sasa si mtueleweshe ni kitu gani hiki?
Preta, Hebu tafuta jamaa wa IT hapo kwenu akusaidie I think this is an IP address (Ipv6)
Wadau,
Naona kuna watu wakiwa wanapost kwenye threads mbalibali huandika :A S 13: kwenye post zao.
Hivi maana yake nini?
Asante kwa kunisaidia Mjanga....mi nilifikiri wezangu wameona nilichoona mimi kunge hola.....haya, kwa wale wasiojua ":A S 13:" ni ki ICON cha sura inatingisha kichwa :A S 13: