Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
R.I.P Mh. Zenawi, kuna kitu ambacho sikielewi vizuri, hivi kwa nini hawataki kueleza vifo vya Zenawi na yule wa Ghana vilisababishwa na ugonjwa/maradhi GANI?
Tetesi ni kwamba hao jamaa walikuwa na msimamo usiotetereka kutetea maslahi ya nchi zao kinyume na matakwa ya nchi za magharibi..so watawala wa dunia wakaamua kuwa-eliminate. Ndo maana vyombo vya habari vya magharibi vilikuwa busy kusema Meles ni dictator. R.I.P Meles, R.I.P Prof. John MillsR.I.P Mh. Zenawi, kuna kitu ambacho sikielewi vizuri, hivi kwa nini hawataki kueleza vifo vya Zenawi na yule wa Ghana vilisababishwa na ugonjwa/maradhi GANI?
Tetesi ni kwamba hao jamaa walikuwa na msimamo usiotetereka kutetea maslahi ya nchi zao kinyume na matakwa ya nchi za magharibi..so watawala wa dunia wakaamua kuwa-eliminate. Ndo maana vyombo vya habari vya magharibi vilikuwa busy kusema Meles ni dictator. R.I.P Meles, R.I.P Prof. John Mills