jasmin abdulrahman
Member
- Apr 7, 2012
- 32
- 5
wana jf naombeni ukweli juu ya hili eti kila kona ukipita watu wanasema kuwa lulu alitumwa kumuua kanumba hivyo anayejua lolote naomba anijuze huyo mtu aliyemtuma ni nani?
Inamaana kahusika indirect?.....jibu lako ni vry simple.....
.... LULU....katumiwa na MASHETANI.....
.....kwa taarifa tu .... "SHE IS INNOCENT"..
......na bado....
Yatakuja mengi.......
Inamaana kahusika indirect?
Lisemwalo lipo,kama ray ndio aliyemtuma basi sawa.
Dah kuna mengi nyuma ya pazia......thats whats up....!!
....na uhakika hata huko polisi aliko hajitambui.......
.....the GIRL is damn INNOCENT......
.....na ndio maana aliomba hata ahudhurie mazishi......
Lisemwalo lipo,kama ray ndio aliyemtuma basi sawa.
mbona mnaniweka njia panda nielewe nani kamtuma mashetani? ray au kafa kwa ufrimaso?
.....think deeeepppp....!!
inaonekana wali nazi we unaelewa mengi juu ya ukweli uliojificha wa kifo cha kanumba. tafadhali nijibu na mm roho yangu itulie maana unvyojibu kwa mkato hata sikuelewi mwenzangu
......thats whats up....!!
....na uhakika hata huko polisi aliko hajitambui.......
.....the GIRL is damn INNOCENT......
.....na ndio maana aliomba hata ahudhurie mazishi......
We nduguye the late sheikh Yahya?
Kwani kuomba ahudhurie mazishi ndio nini? Tafsiri yako haiwezi kuwa 'UKWELI' unless ulikuwepo eneo la tukio, wakati wa tukio au una namna ya kuona yale yasiyoonekana.
Yah coz hata Lulu mwenyewe anajichanganya sana