- Thread starter
- #41
Inabidi atuambia kama yuko serious kweli aseme. Kuna dada mmoja wanafanana naye kila kitu, kama yuko tayari kubadili msimamo mi nikutambulishe harafu wewe utaendelea.
bro kama inawezekana nisaidie mzee kwa jinsi navompenda ester ni pm uyo mwingine wanae fanana ili hawe mbadala wake ntashukuru sana.