Alichotamka Juzi ni mwendelezo wa kumuonyesha JK kuwa yuko ‘NAYE' na yuko mbali na chadema na kuwa yeye hakuwa na mawazo kama wanachadema wengine!!!. Hakuishia hapo tu bali alisema JK amefanya mengi Kigoma! Hivyo hakuona sababu ya kutoka nje ya bunge, kwa hiyo hakwenda kabisa, Huu ujumbe haukuwa kwa wananchi, ulikuwa unaenda kwa JK rafiki yake! Hata kama JK kafanya mambo mengi huko jimboni kwake Kigoma ni wajibu wake kama rais na haikuwa zawadi.
its about time before the realy enemy is unmasked..!!!!but sijaona uhusiona wa Zito na Uislam, mkuu you must be careful na udini!!!!!!!
Nimeipenda hii.
1.Ila kwani urafiki wa jana nilazima kua waleo?
2. je upinzani niuadui?
3. Tupe chanzo cha habari, we need habari zilizofanyiwa utafiti
Nimeipenda hii.
1.Ila kwani urafiki wa jana nilazima kua waleo?
2. je upinzani niuadui?
3. Tupe chanzo cha habari, we need habari zilizofanyiwa utafiti
ubapa huo!:cool2:rahisi kulewa
- Kumbikumbi akikalibia kufa.......
- Ngoma ikivuma saana.................
- La kuvunda.....................
- Sikio la kufa.............................