Heheheee msaidie kuweka Avatal nikupe ya kumwekea?UNA MACHALE WEWE Erickb52 kama vile unamuona. hana hata avatar!!
Ananitetea mimi kwani Madame B hatujui kilichompata au sijui ruttashobolwa aliiba password yake
Hata mimi nahisi aliiba pawd coz madame b hawezi kuwa na mtu kama ruttashobolwa hata kidogo
St. Paka Mweusi acha kunitamanisha aisee maana hapa natamani kula kona ila naogopa tu sina kampani Dah vindofu vya ijumaa huwa vimetulia sana aisee lolLeo mmemuamulia kajificha wapi lakini...huwa akiniona niko peke yangu maneno mengiiiiiiiii sasa leo kapatikana..
Yaani hapa nilipo nimecheka mpaka nimepaliwa whisky.........
Hahahahhahahhahaha..Kaka unanidai bia mbili........
Hivi unamjua b52?
Heheheeeee haya we endelea uone hamu kwa Madame B itakavyokuisha ghafla
Kwikwikwikwiiii
St. Paka Mweusi acha kunitamanisha aisee maana hapa natamani kula kona ila naogopa tu sina kampani Dah vindofu vya ijumaa huwa vimetulia sana aisee lol
Hebu gonga cheers hapa
View attachment 65705
Leo mmemuamulia kajificha wapi lakini...huwa akiniona niko peke yangu maneno mengiiiiiiiii sasa leo kapatikana..
Yaani hapa nilipo nimecheka mpaka nimepaliwa whisky.........
Leo mmemuamulia kajificha wapi lakini...huwa akiniona niko peke yangu maneno mengiiiiiiiii sasa leo kapatikana..
Yaani hapa nilipo nimecheka mpaka nimepaliwa whisky.........
Hee mmeshazimika kama rutta? Mbona kimya kimezidi? Kama vipi mimi nahamia jukwaa la stress.
Hee mmeshazimika kama rutta? Mbona kimya kimezidi? Kama vipi mimi nahamia jukwaa la stress.
King'asti mambo! Uko cha wapi bibie? Karibu Arusha bhana upate raha za huku. BTW hivi bado uko singo?
We hacha vijana wapige kelele mi na kunywa vinyo!
Unacheka nini sasa, wote hao hawaniwezi pamoja nawewe.
Njoo Ruttashobolwa wangu,
Achana nao hao,
Wanakuonea wivu.
Come baby...
Najua wanasema mengi sana ili niachane na wewe,lakini Mimi ni ruba na wewe ni ngozi.
Kunitoa mpaka atoke mtu Ngozi.
Hivi unamzungumzia ruttashobolwa huyuhuyu aliyefumaniwa na Housegirl juzi?