Laiser James
Member
- Dec 5, 2013
- 77
- 8
Katika kile kinachoonekana kuwa ni kujiandaa kugombea nafasi ya kisiasa, mkurugenzi wa kampuni ya Gkobal publishers Ltd Erick Shigongo leo amekabidhi gari aina ya Ambulance maalum kwa kubebea wagonjwa kwa wananchi wa Sengerema ikiwa ni ahadi aliyowahi kuitoa.
Pamoja na kukabidhi gari hilo lakini pia alikabidhi kwa baadhi ya vijiji miradi ya visima vya maji alivyochimba ikiwa pia ni ahadi yake ya kuchimba kisima cha maji kwa kila kijiji ili kupunguza adha ya maji kwa kina Mama ambao wamekua wakitumia muda mwingi kufuata maji.
Sourc; Star tv habari.
Pamoja na kukabidhi gari hilo lakini pia alikabidhi kwa baadhi ya vijiji miradi ya visima vya maji alivyochimba ikiwa pia ni ahadi yake ya kuchimba kisima cha maji kwa kila kijiji ili kupunguza adha ya maji kwa kina Mama ambao wamekua wakitumia muda mwingi kufuata maji.
Sourc; Star tv habari.