Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,299
kwa kumteka jose chameleone,yaani amejchukulia sheria mkononi,inasemekana almtuma sharabaro flan ivi kampala kuingia mkataba na msanii uyo,uyo btoz akakutana na matozy zaid yake wakamdanganya kwamba wao ni wawakilish wa jose kwaiyo akawapa mpunga kama dola elfu 3 iv,da ntaendelea baadae
Dah!mbona hii imekaa kama zile riwaya zake anazotuandikiaga? Au ni promo flan, hebu watu walioko kwenye sosi plse wafunguke