Inamwakilsha mwenyewe. Ni mtu mwema na mbaya pia. Hebu mwiteni madame b hapa.
nimekuja mpendwa...
Sema shida yako ili utatuliwe.
watu wanataka wajue usaint na u ghost wa mzee wa bamaga hebu wamwagie mama wa kino!
watu wanataka wajue usaint na u ghost wa mzee wa bamaga hebu wamwagie mama wa kino!
Hahaha!
Naogopa kung'olewa kucha na kutobolewa macho.
Dah uwa nafuatiliaga sana hadithi za huyu jamaa,ila hii hadithi ya A SAINT & GHOST ni balaa,jamaa anaweza sana duh,Big up
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
siku hizi wamebadilisha mtindo wanakumwagia tindikali tu ukapofuke mbele huko!! na sipo tayar kuona dada angu unapofuka kwa ajili ya hao wana fursa
Dah uwa nafuatiliaga sana hadithi za huyu jamaa,ila hii hadithi ya A SAINT & GHOST ni balaa,jamaa anaweza sana duh,Big up
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kwangu mimi Shigongo ni mtoto sana kwa B.R.Mtobwa na Hussein Tuwa usisahau Will Gamba.!!!
Na kina Mohamed Said, na Shafi Adam.
Uyo Shigongo anatunga au anatoa story za kihindi na kitoto
Story za Shigongo: "...majambazi wakamwambia Innocent 'piga magoti na sali sala zako za mwisho!' huku wamemuwekea bastola kichwani. Wakanza kuhesabu, moja, mbili, taa... itaendelea wiki ijayo."
Kuna mtu anaitwa Faki A. Faki aisee.
Niliipenda CHADEMA ya kipindi cha akina Chacha Wangwe lakini hii ya kikanda zaidi sina imani nayo maana iko kijasiliamali zaidi.
Kama Mbowe, ananunua nyumba Dubai halafu anaandamanisha watanzania ili kikinuka yeye fasta Dubai.
Story za Shigongo: "...majambazi wakamwambia Innocent 'piga magoti na sali sala zako za mwisho!' huku wamemuwekea bastola kichwani. Wakanza kuhesabu, moja, mbili, taa... itaendelea wiki ijayo."
Kuna mtu anaitwa Faki A. Faki aisee.