ERB walipeni Trainee Engineers

Snitch

Senior Member
Oct 22, 2011
165
42
Engineers Registration Board nao wameanza njaa zao na ulafi Kuwa nyima Pesa Hawa Trainee Engineers chini ya program ya SEAP(structured Engineer Apprenticeship Program)ambao ni Wanawake kwa kutoa wapa Pesa za kujikimu ambazo haijulikani wasipo pewa Return yake inaratibiwa au inapelekwa wapi Kama sio kuliwa tu..

Hatukatai Kama kuna ucheleweshwaji wa Report lakini hata hivyo kuna mAkosa ya kiusimamizi na pia kuna ucheleweshwaji unaosababishwa na mazingira waliyo na wanayofanyia kazi Kuwa magumu Kumbuka Pesa yenyewe ni ndogo hata na bado wanaitolea macho...

Kuna baadhi ya Hawa Trainee wamekua ombaomba sana maofisini Kwetu sasa imekua kero km hamtaki kuwalipa sitisheni hiyo program na pia Kama mnataka iendelee wekeni utaratibu mpya unaomjenga mtu badala ya kungojea kigezo cha kusubmit report tu hii haifai.

Walipeni Pesa zao acheni ulafi toshekeni Hawa nauli watapata wapi au mnatengeneza mazingira wawe inconfidence and incompetent....
 
Ingekuwa rahisi ivyo si ungekaa kwenue ukaletewa mshaara mwisho wa mwezi
wapeleke ripoti acha kuleta unaa bana kazi na dawa
 
Engineers Registration Board nao wameanza njaa zao na ulafi Kuwa nyima Pesa Hawa Trainee Engineers chini ya program ya SEAP(structured Engineer Apprenticeship Program)ambao ni Wanawake kwa kutoa wapa Pesa za kujikimu ambazo haijulikani wasipo pewa Return yake inaratibiwa au inapelekwa wapi Kama sio kuliwa tu..

Hatukatai Kama kuna ucheleweshwaji wa Report lakini hata hivyo kuna mAkosa ya kiusimamizi na pia kuna ucheleweshwaji unaosababishwa na mazingira waliyo na wanayofanyia kazi Kuwa magumu Kumbuka Pesa yenyewe ni ndogo hata na bado wanaitolea macho...

Kuna baadhi ya Hawa Trainee wamekua ombaomba sana maofisini Kwetu sasa imekua kero km hamtaki kuwalipa sitisheni hiyo program na pia Kama mnataka iendelee wekeni utaratibu mpya unaomjenga mtu badala ya kungojea kigezo cha kusubmit report tu hii haifai.

Walipeni Pesa zao acheni ulafi toshekeni Hawa nauli watapata wapi au mnatengeneza mazingira wawe inconfidence and incompetent....

Utakua mmoja wao wanacheleweshewa malipo just be open!!! by the way Prof NINATUBU LEMA atakua hana hekima kama hatalighulikia hili swala mapema ...
poleni sana
 
Mimi Nina kakeki kangu Ndugu yangu hako ka Pesa kao hakawatoshi kwani tunafikiria uwezekano wa kuwasaidia hapa Kwetu ..

Wengi wao ni fresh from school...
 
Ingekuwa rahisi ivyo si ungekaa kwenue ukaletewa mshaara mwisho wa mwezi
wapeleke ripoti acha kuleta unaa bana kazi na dawa
Hivi aliyepost hii thread ni trainee engineer? au ni mtu gani yailahi!

Maudhui ya mada yenyewe ni kulipwa ili uwe trained, kwa faida ya nai sijui!!
Pdidy , you are right, ingekuwa kupata uEng ingekuwa kirahisi hivyo basi kaa nyumbani kujipunguzia matatizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom