BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
Acha uchoyo, kajisajili, au unadhani wenzio watakula wapi?????
Urudi kufanya nini wakati tumeshakuelewa....
Halafu hii biashara ya kujisajili kwenye mibodi inakeraga sana asee.
Yaani shule nikate mimi, kufaulu nifaulu mimi..... sitambuliki mpaka bodi inisajili......agrrrrrr