Hii Engineers Registration Board nao wamezidi njaa, Wamekua wakiwakata Trainee Engineers ambao wanachelewa kusubmit Quarter Report on time na kuwapa fedha nusu na hata wanapowasilisha Report Ile Pesa hawawapatii ndio imeliwa...
Sasa Mimi najiuliza lengo ni la kufanya hivyo ni Zuri kwa maana ya kuhamasisha wasibweteke wafanye kazi kwa wakati na wasubmit Report kwa wakati,
Lakini , hawataki kupata ukweli kua delay nyingine haisababishwi na Trainee Engineer Bali ni SUPERVISORS,sasa je haki ya Trainee Engineer ni Ipi Kwani Hawa Ma Supervisors hawalipwi na wanafanya Kama vile basi tu na wengi wao ni wale Primitive kweli wanataka Kuabudiwa sana, sisemi wote ila wengi wao wako hivyo,
Je,hizi fedha baadae wanazipeleka wapi au ndio ufisadi?
Acheni ulafi kuna wengine mwezi wa tatu mfululizo hajapewa Pesa ya kujikimu????
Acheni ulafi na ufisadi wapeni Pesa zao na Kama Report haijasigniwa mnalalamika kwanini msiwasiliane na Supervisor na Wote mnawajua.
Kuchukua hatua ni kukata Pesa tu ila hamtaki kujua chanzo cha tatizo?
Tatizo ni Masupervisors sio Trainee wapeni Pesa zao...
Sasa Mimi najiuliza lengo ni la kufanya hivyo ni Zuri kwa maana ya kuhamasisha wasibweteke wafanye kazi kwa wakati na wasubmit Report kwa wakati,
Lakini , hawataki kupata ukweli kua delay nyingine haisababishwi na Trainee Engineer Bali ni SUPERVISORS,sasa je haki ya Trainee Engineer ni Ipi Kwani Hawa Ma Supervisors hawalipwi na wanafanya Kama vile basi tu na wengi wao ni wale Primitive kweli wanataka Kuabudiwa sana, sisemi wote ila wengi wao wako hivyo,
Je,hizi fedha baadae wanazipeleka wapi au ndio ufisadi?
Acheni ulafi kuna wengine mwezi wa tatu mfululizo hajapewa Pesa ya kujikimu????
Acheni ulafi na ufisadi wapeni Pesa zao na Kama Report haijasigniwa mnalalamika kwanini msiwasiliane na Supervisor na Wote mnawajua.
Kuchukua hatua ni kukata Pesa tu ila hamtaki kujua chanzo cha tatizo?
Tatizo ni Masupervisors sio Trainee wapeni Pesa zao...