TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Yule bingwa wa sanaa za siasa , aliyewahi lkumpindua cheyo uenyekiti wa chama cha UDP, amabye amewahi kuwa mbunge wa jimbo la Kisesa mkoani shinyanga ambaye hakuweza kuwafanyia chcochote wananchi wake na ambaye kwa sasa ni mkurugenzi wa habari na uenezi wa chadema ndugu Erasto tumbo ametangaza nia yake ya kugombea uenyekiti wa mkoa wa shinyanga.
Alionekana bar moja maarufu mjini shinyanga akiwa na kundi la vijana kama sitta hivi wakiwa kwenye mchakato wa kutengeneza kambi ili afanikishe zoezi hilo, alinukuliwa akisema kuwa kama atafanikiwa kupata hiyo nafasi itakuwa ni hatua mhimu sana kwake kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015 maana anatarajia kugombea ubunge jimbo la SHINYANGA mjini.
Kama atafanikiwa kugombea uenyekiti wa chadema mkoani shinyanga hii itakuwa ni mara yake ya pili kufanya hivyo maana mwaka juzi alijaribu kupambana na marehemu shelembi ambapo tumbo aliishia kura zisizozidi tatu.
Udadisi wa mwandishi wa habari hizi unaonyesha kuwa kama Tumbo hakubaliki alikozaliwa itawezekenaje aje agombee mjini? pia Kuna taarifa kuwa katika kujiandaa huko ameanza utaratibu wa kununua nyumba maeneo ya ndala na ameshaanza taratibu za kurudiana na mwana,ke aliyempa MIMBA na kumtelekeza ambaye anaishi hapa shinyanga mjini.
source: Habari za kiinteligensia
Alionekana bar moja maarufu mjini shinyanga akiwa na kundi la vijana kama sitta hivi wakiwa kwenye mchakato wa kutengeneza kambi ili afanikishe zoezi hilo, alinukuliwa akisema kuwa kama atafanikiwa kupata hiyo nafasi itakuwa ni hatua mhimu sana kwake kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015 maana anatarajia kugombea ubunge jimbo la SHINYANGA mjini.
Kama atafanikiwa kugombea uenyekiti wa chadema mkoani shinyanga hii itakuwa ni mara yake ya pili kufanya hivyo maana mwaka juzi alijaribu kupambana na marehemu shelembi ambapo tumbo aliishia kura zisizozidi tatu.
Udadisi wa mwandishi wa habari hizi unaonyesha kuwa kama Tumbo hakubaliki alikozaliwa itawezekenaje aje agombee mjini? pia Kuna taarifa kuwa katika kujiandaa huko ameanza utaratibu wa kununua nyumba maeneo ya ndala na ameshaanza taratibu za kurudiana na mwana,ke aliyempa MIMBA na kumtelekeza ambaye anaishi hapa shinyanga mjini.
source: Habari za kiinteligensia