Sisi ni wanafunzi wa equivalent je kilio chetu sisi tufanyeje kwani mpaka sasa hata hujui kinachoendelea na mlisema watu wasayansi watapewa mkopo asilimia mia moja je, sisi ambao tuna- equivalent hatutakiwi kupata haki hiyo ya msingi. Wengi wetu tumemaliza d.i.t, mist, arusha tech, karume, na vyuo vyote hivyo vinatoa diploma. Je, hawa watu na wanafunzi wanaondelea na masomo ya diploma hasa wasiendelee kusoma kwa kuhofia kuwa watakuja kuambiwa hawatakiwi kusoma digrii kwani wana equivalent, serikali hii isilete mabadiliko mabadiliko kwenye elimu. Sio wote wanapitia form six wengi wanapita kwa diploma labda waweke ulazima kuwa wanafunzi wapite form six, mbaya zaidi bajeti ya elimu mwaka huu imeongezwa kwa asilimia kubwa ili kusaidia watoto wa wakulima lakini bado inakuwa ngumu kwa kutoa mikopo kwa wanafunzi kwanini serikali hii jamani tunaenda wapi? Na sasa tayari tupo vyuoni nataka tuanze shughuli zetu zile, waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi tunaomba usikilize kilio cha wanafunzi hawa mnaowaita equivalent tafadhari.
Hivi mlifikiria nini hadi mkaanzisha hiki kitu equivalent na bado watu wanaendela kusoma hamdhani mnawakatisha tamaa hawa vijana
tuna-amini serikali hii bila maandamano hamuwezi kwenda sasa subirini tukusanyike wote tuanze kazi
Hivi mlifikiria nini hadi mkaanzisha hiki kitu equivalent na bado watu wanaendela kusoma hamdhani mnawakatisha tamaa hawa vijana
tuna-amini serikali hii bila maandamano hamuwezi kwenda sasa subirini tukusanyike wote tuanze kazi