Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
Ha ha ha,Teh teh teh teh!Wakuu mtawalaumu wafanyabiashara na manufacturers, lakini mkumbuke mfanyabiashara yupo kupata faida tu hata kwa kuuza kinyesi akisema ni biskuti. Jukumu la kwanza kabisa la serikali ni kulinda raia zake. Kulinda raia zake ni pamoja na kuwaepusha na bidhaa feki. Mtu aliye kijijini Mangaka atajuaje kuwa hii dawa ni feki? Serikali ilitakiwa iwe imeisha mlinda huyu mtu ili hiyo dawa feki isimfikie maana yeye hawezi kutofautisha.
TATIZO LA NCHI HII NI KUWA HAKUNA SERIKALI NA KAMA IPO BASI HAIPO KWA MASLAHI YA WANANCHI WAKE WENGI.
By the way kwanini watu wengi wakifika maeneo ya Mlimani City hupenda kuongea kiingereza. Jambo hili nimelibaini muda mrefu na kila mtu niliyemuambia amesema ni ukweli. Je ni ushamba pia unatusumbua?
Kwa sisi wabongo hii ndio Shopping Mall kubwa toka inchi hii imeumbwa,sasa inakuja na mambo ya kila aina hasa kwa vijana wa makamo (teens) hasa na mambo ya kuiga iga.
Ila ukibahatika siku mmoja ukisafiri nnje ya inchi,jaribu kutembelea Malls za wenzetu alafu wewe angalia watu wa aina gani wanaenda kwenye sehemu hizo alfu sababu utaijua ya kwanini watu hapo wanbadirisha lugha(usisahau wabongo wanakasumba ya kufikiri kingeleza ndio lugha ya walio kwenye neema na kustaarabika )ambacho sio kweli na NI WIZI MTU