The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
- Thread starter
- #21
Tatizo ni kiburi kilichopitiliza, umesahau wengi ya wale wanaokataliwa kwenye sanduku la kura yeye huwachagua kuwa wakuu wa mikoa,wilaya au kuwa mabalozi?Hivi ni nini hasa kinachomfanya Kikwete ashindwe kuwaondoa Nkya na Mponda? Kama ni wazuri sana kwenye utendaji si awahamishie wizara nyingine?