Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
John aliingia kwenye "washrooms" za airport muda mfupi kabla ya kupanda ndege. Akiwa chooni akasikia sauti toka chumba jirani na alipokuwa:
Sauti: Hi!
John akajibu: Hi!
Sauti: Uko wapi?
John: Washroom of course.
Sauti: Unafanya nini huko?
John: (Kwa sauti ya aibu) Najisaidia kama wewe.
Sauti: Fred, nitakupigia baadae, kuna jamaa anajibu hapa maswali ninayokuuliza.
Sauti: Hi!
John akajibu: Hi!
Sauti: Uko wapi?
John: Washroom of course.
Sauti: Unafanya nini huko?
John: (Kwa sauti ya aibu) Najisaidia kama wewe.
Sauti: Fred, nitakupigia baadae, kuna jamaa anajibu hapa maswali ninayokuuliza.