Tuipendeinchiyetu
Member
- Feb 18, 2007
- 27
- 6
kwa kweli Tanzania tuna kazi kubwa sana hasa kwenye swala la utawala bora. kila kitu kinachofanyika tz ni politics tuu.
Msesewe,
Uko sahihi kabisa,mfumo wa utumishi si mzuri,"divide and rule" ndiyo mfumo wa viongozi wengi wa hizi taasisi zetu za umma.Wewe kama ni threat kwa cheo cha kiongozi lazima ushughulikiwe,kama si mwanamtando wa bos umeumia.sielewi ni lini Tanzania tutajaribu angalau kuwa na utawala bora.hii inavunja moyo kwa wafanyakazi wengi tu waliyokwenye mashirika au taasisi za umma.