Lowasa ni mchapakazi sana na mambo yamezorota serikalini baada ya lowasa kuchukua maamuzi magumu.
Lowasa kachafuliwa kwa chuki binafsi,hii ni kwasababu kabla hajachafuliwa hata wewe ulikuwa unamjua RAIS ANAYEFUATA.
Lowasa anafaa kuwa RAIS na anaweza kuwa RAIS na ni mwaka 2015.amen.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.