Mimi uwa nashangaa sana humu Jamvini azipiti siku mbili au tatu lazima watu wamfungulie Thread Kibonde
Kaka zangu kwa kweli mnatia kichefu chefu sana
yaani mlivyokuwa mnajikomba kwa lowassa laiti angekuwa amewapa hata lakimoja ya vaistry ningewaona
wa maana lakini najua hata 500 amjapata tofauti na wenzenu walioenda wameondoka na kabahasha
ndugu zangu hawa leo wametumia muda mzima kuongelewa waandishi wa habari kw anini wanamsumbua
lowassa kibonde akafika mbali kusema kama wanawashwa sana na lowassa si waandike haabari za mama
zao waone uchungu wao..hawa waandishi wanatia kinyaa sana sana kayanda...wengi wana njaa zaoa niliuza
mmoja kwa nini mnafanya vile akajibu ati tutauzaje gazeti...alisema kibonde akasema nilisikia kumchapa makofi yule
mwandishi wa habari..inauzunisha sana baba wawatu msafi wanambugudhi kama rushwa si wwaende takukuru
wakapeleke mashtaka alisema kibonde...akafika kusema mi nasema huyo lowassa kweli amechoka na sasa aende nao mahakamani wakajue umuhimu wa kulipa unapomchafua mtu;;waandishi wengi ni vihiyo sikuhizi alisema mh kibonde
bado najiuliza kashfa zote hizi kwa waandishi wa habari kibonde wewe ni engineer ama kwasababu mungu kakujalia
mdomo wa mipasho maharusini na kwenye bday part unaona wenzako awafai..mmbona unajifedhehesha hivyo kakaetu
anyway pamoja na upupu wa kibinde na kayanda huyu mwenzake kayanda akilizikamrudia gafula akamuuliza
kibonde hivi kama amechafuliwa amekaa kimya siku zote nani ataamini kinachosemwa sio kweli??hii ya kwenda kwenye baraza la habari aisaidii bana aende mahakamani ..nikaona kama ametoleewa pale muhimbili kile kitengo wanaitjae vile...saka.....akarudia akili zake timamu..kibonde akazidi kumtetea lowassa mwisho wasiku kibonde akaeendele kuwa chizi na kayanda akapona gafla picha ikaisha
kampuni yote ya clouds ni mashoga halafu kuna jamaa yangu anampumulia kisogoni mmoja wao
siwasikilzi kwanza mambo yao ni umbeya na utoto sana
tunayaomba mkuu maana kasema amesoma Uk.Mbona kibonde naye ni kihiyo mkubwa tuuu, Jf tuna matokeo yaake ya kidato cha nne
Wana wajibu wa kuvumilia mashambulizi wakitoa pumba piaKibonde na Arnold, kama watanzania wowote, wana haki ya kutoa maoni yao.
Nyani Ngabu anafanya kazi clouds fmkampuni yote ya clouds ni mashoga halafu kuna jamaa yangu anampumulia kisogoni mmoja wao
siwasikilzi kwanza mambo yao ni umbeya na utoto sana
Kibonde na Kayanda hawajui wafanyalo. Wanadhani akipata huo urais wa kuota, Lowassa atawapa nafasi kama ya msaliti mwingine Salva Rweyemamu. Kwanini wasipoteze muda kuongeza elimu zao badala ya kujiweka utumwani kwenye mifuko ya mafisadi? Wanatia kinyaa vijana hawa vihiyo. Wanasiasa si watu wa kuwekeza kwao. Wamuulize kihiyo mwenzao Tambwe Hiza alipo baada ya muungu wake Yusuf Makamba kumwaga manyanga. Inatia aibu kijana tena wa kiume kufikiri kwa masaburi. Yaani akina Kibonde wanadhani waandishi wa habari ni PR secretaries wa Lowassa? Kama kuandika habari za mama zao, kwani akina Kibonde hawana mama. Nao basi wakawachambue mama zao wajue kama waliwazaa ndani au nje ya ndoa. Maana uanaharamu wanaoonyesha kwa kufanyishwa kazi ya dodoki unatosha kuwaondoa uhalali wa kuwa watoto halali. Kwanini wasiwaache akina Fred na dada yake Pamela wa Benki kuu wamtetea baba yao? Kama kuna viumbe wanawashwa basi si wengine ni hawa mavuvuzela na mabambataa waliovamia runinga wakati hawana ujuzi wala akili vya kutosha kufanya kazi hizo. Jamani nendeni mkasome badala ya kuuza urembo mtakuja fanyiwa nchezo mbaya. Haya shauri yenu. Tuhuma za Lowassa na kujikomba kwake kwa Kikwete haviwezi kufutwa na vitisho na pumba za akina Kibonde. Acheni Lowassa ajitetee ingawa alipopata nafasi hakufanya hivyo kutokana na kujua kuwa hana bao. Kwani watanzania wanamjua sana alivyo Richmond.
Clouds to be named Alpha FM soon......watch this out
kuna waandishi tanzania hii?
Na wewe nenda shule kajifundishe kuandika vizuri Pro-CDM wenzako wanakuonea aibu kukwambia unaandika kama mtoto wa Kindergarten
...ni kweli,kila Mwananchi ana uhuru wake wa kutoa maoni. Lakini kwa huu "ujinga" wa hawa vijana wa Clouds-FM lazima wenye akili wote tuungane kuukemea. Kwa uelewa wao wanadhani kwa kufanya hivyo wanaweza kuzawadiwa u-DC,hivi nani aweza aweza kumpa huo u-DC mtu ambaye ana mi-F kibao kwenye cheti cha Form-4??