Hapa umeniacha Njiani kabisa!
tumewachoka na habar zenu au mumetumwa nn? Kila saa kibonde, hakuna issue nyingine za kujadili.
tumewachoka na habar zenu au mumetumwa nn? Kila saa kibonde, hakuna issue nyingine za kujadili.
Hivi wewe hilo alilolifanya linakufurahisha?Inaonekana nawe una 4 ya 33 ambayo nayo uliipata kwa msaada wa macho yako kusomba hicho kidogo ulichokipata toka kwa aliekuwa amekaa jirani yako.
Tutaendelea kumzungumzia kwa sasa kwani kila kitu kina wakati wake na tutakapoona kuwa tumeridhika na hatua hii tutahamia ile itakayokuwa iko sokoni kwa wakati huo.
Hapa umeniacha Njiani kabisa!
mbona nasikia huyo bwana sio riziki?? ni kweli jamani????[/QUOaaaaah ni msosi toka kitambo hvo watu wanajipakulia tu....................hana maaana anajipendekeza sana kwa wakulu wa nchi,pambaaaf sake watakuja kumchana