Ephraim Kibonde Jahazi Show

kwa kumsema mnyika aliwa anaanza kujiharibia sifa zake,pia radio yao imejaa story tuuu na vipindi vya ajabu ajabu.
"let those who have money talk first"
 
kwa kumsema mnyika aliwa anaanza kujiharibia sifa zake,pia radio yao imejaa story tuuu na vipindi vya ajabu ajabu.
"let those who have money talk first"

Kumbe Issue ni KIBONDE kumpinga Mnyika katika kadhia ya silaha.

By the way Who is Mnyika huko Tanzania.
 
Sijatumwa na mtu, ila natoa kile ninachokiona........... Yaani una maana sina uwezo wa kutoa hoja zangu hadi nitumwe...???? Hapo unakosea, labda wewe unatumwa na wanaomchukia kibonde.... tehh...teh Kutumwa au kutokutumwa hakupimwi kwa kukubaliana au kutokukubaliana na hoja zako au za wengine.............

NI KAZI KUBWA SANA KATIKA DUNIA HII KUMFURAHISHA KILA MTU KWA KILA JAMBO UNALOLIFANYA............... KILA UNACHOKIFANYA UNAWAGAWA WATU KATIKA MAKUNDI MATATU YAFUATAYO
1. MA-DON'T CARE
2. WA UPANDE WAKO
3. WATAKAOKUPINGA

WENGINE HUWA WANAWATUKANA WATUWANAOWAPINGA........... WHICH IS NOT FAIR, WAKATI MWINGINE LAZIMA MKUBALIANE KUTOKUKUBALIANA.

u r talkin dusty my friend, sijaenda kiundani kuuchambua uelewa wako...nimesoma post yako tu...n what u r talkin now its totaly TRIVIAL! no add-ons, in JF we always looking for add-ons and not talking trivial stuffs....! check`t out son.
 
[/COLOR]

hapo kwenye red ni msemo tu usijidanganye na haitatokea
kumbe wanaowasema mafisadi wanawapenda sana eeh :)


yani FIRST LADY NILIDHANI NIKO MWENYEWE...YANI SIMUELEWI HUYU JAMAA UNAJUA...

HUKU SIO KIU AU IJUMAA WIKIENDA JAMANI, NI KWA WATU WENYE UELEWA WAO WAKIDISKUS FACTS NA KUPINGANA KWA FACTS NA SIO UPUUZI KAMA WA HUYU MJOMBA WAKE KIBONDE
 
Dah mwandishi wa habari hapiti sehemu hizi???????????
Msitegemee analysis ya maana kwa mtu asiyependa kufunuafunua vitu

Kibonde sio mwandishi wa habari. Wala hana hiyo fani kwa maana ya fani hiyo, usidandie treni kwa mbele.
 
Kwani Kibonde akimkosoa mnyika si hali ya kawaida tu?, Mbona kuna watu wengi tu humu wamemkosoa. hata ME HAPA NADIRIKI KUMKOSOA, KWA KUMWAMBIA KUWA MAMBO HAYA YANAHITAJI RESEARCH YA KINA NA SI KUKURUPUKA.
 
Kwa mantiki hiyo unakubali kuwa Mh Membe amekurupuka? Au anaweweseka tu?


Mh Membe yupo sahihi kabisa kabisa. Kwani baada ya kupata ripoti hiyo ya wataalamu waliotumwa na UN alilofanya kuitaka UN iwaombe radhi wa TZ.

Yeye akutaka kuzungumza na Mbwa bali alizungumza moja kwa moja na Mwenye Mbwa. Na jibu la UN umelisikia.

Membe hakukurupuka.
 
Sasa lazima tujuwe kuwa ripoti hiyo itapelekwa kwenye kamati maalum ya kuijadili kabla kufikishwa katika baraza la usalama kama azimio.

Ndani ya Azimio kutakuwa na Kosa, nani wahusika na nini kifanyike kuliondoa hilo na kumaliza vita ya DRC.

Tukumbuke kuwa UN kuunda jopo hili la wataalamu wana nia ya kutaka kumaliza vita ya DRC.

Sasa tuwe na Subra tuone mwisho wake na wala tusikurupuke katika kutoa maamuzi.

Mh Membe yupo sahihi kabisa kabisa. Kwani baada ya kupata ripoti hiyo ya wataalamu waliotumwa na UN alilofanya kuitaka UN iwaombe radhi wa TZ.

Yeye akutaka kuzungumza na Mbwa bali alizungumza moja kwa moja na Mwenye Mbwa. Na jibu la UN umelisikia.

Membe hakukurupuka.

Barubaru,

Mwenye mbwa keshasema hana uwezo wa kumzuia mbwa wake asibweke au kuuma waarifu!

Najaribu kusoma hizo post zako mbili nahisi sikuelewi unachotaka kusema. Kwa hiyo Mh Membe kwa kuidharau report hiyo na kutaka UN iiombe radhi Tz kabla hata hiyo report haijajadiliwa na balaza la usalama ameonesha subira (hajakurupuka)? Kumbuka Mh Membe ni waziri wetu wa mambo ya nje!
 
u r talkin dusty my friend, sijaenda kiundani kuuchambua uelewa wako...nimesoma post yako tu...n what u r talkin now its totaly TRIVIAL! no add-ons, in JF we always looking for add-ons and not talking trivial stuffs....! check`t out son.
Umeshawahi kuwa mfalme nini...???? Maana ukipingwa unakasirika na kuongea vihisishi tupu........... Pole kama umekasirika, maana umezowea kuungwa mkono tu......... Hutaki kujuwa upande wa pili wa shilingi
 
Barubaru,

Mwenye mbwa keshasema hana uwezo wa kumzuia mbwa wake asibweke au kuuma waarifu!

Najaribu kusoma hizo post zako mbili nahisi sikuelewi unachotaka kusema. Kwa hiyo Mh Membe kwa kuidharau report hiyo na kutaka UN iiombe radhi Tz kabla hata hiyo report haijajadiliwa na balaza la usalama ameonesha subira (hajakurupuka)? Kumbuka Mh Membe ni waziri wetu wa mambo ya nje!

SMU.
Naomba unifahamu kuwa Membe yeye anawakilisha Nchi yaani TZ. na ripoti hiyo ilitolewa na wataalamu hao bila idhini ya UN ambao waliwatuma na kuwafadhili katika kazi hiyo. Mimi kwa mtazamo wangu naona wataalamu hao walikuwa na nia mbaya na TZ walitaka kuichafua Tanzania.

Membe kwa kuliona hilo , Yeye moja kwa moja aliamua kuzungumza na mwenye Mbwa (UN) na UN akakanusha.

Kwa msingi huo TZ sasa ipo salama katika jamii ya kimataifa katika kadhia hiyo. na taarifa ile iliyotolewa na wataalamu iebakia kama MAJUNGU kwani hawajafata taratibu maalum za kutoa taarifa.

Membe alikuwa na haki kabisa kisheria kuijibu taarifa hiyo kwani ilikuwa na nia mbaya kwa mustakabali wa Tz especially katika anga za kimataifa.

Hongera Membe kwa ku deal na mwenye Mbwa na kuliondosha jungu hilo zito kwa TZ.
 
SMU.
Naomba unifahamu kuwa Membe yeye anawakilisha Nchi yaani TZ. na ripoti hiyo ilitolewa na wataalamu hao bila idhini ya UN ambao waliwatuma na kuwafadhili katika kazi hiyo. Mimi kwa mtazamo wangu naona wataalamu hao walikuwa na nia mbaya na TZ walitaka kuichafua Tanzania.

Membe kwa kuliona hilo , Yeye moja kwa moja aliamua kuzungumza na mwenye Mbwa (UN) na UN akakanusha.

Kwa msingi huo TZ sasa ipo salama katika jamii ya kimataifa katika kadhia hiyo. na taarifa ile iliyotolewa na wataalamu iebakia kama MAJUNGU kwani hawajafata taratibu maalum za kutoa taarifa.

Membe alikuwa na haki kabisa kisheria kuijibu taarifa hiyo kwani ilikuwa na nia mbaya kwa mustakabali wa Tz especially katika anga za kimataifa.

Hongera Membe kwa ku deal na mwenye Mbwa na kuliondosha jungu hilo zito kwa TZ.

kwahiyo mkuu unataka tukuelewe kwamba unaona sawia kabisa kwa Tanzania iwe nchi au watanzania wachache kunufaika kwa kumwaga damu za wakongomani?
Kwahiyo unaungana na membe huku ukiwa na uelewa wako kamili ama umetumwa kumtetea membe?
kumbuka kuwa kuna ripoti kadhaa zimewahi kutolewa zikionyesha namna tanzania ilivyoshiriki/inavyoshiriki kusafirisha silha kwenda kongo na maeneo ya maziwa makuu. Hebert sauper alijaribu kuwaonyesha kile serikali yetu inachofanya, kama kawaida mkamshutumu hadi kuandamana kupingana na ukweli. Juzi kati hapa kuna wazalendo wametusaidia kujua kilichojificha ndani ya meremeta lakini bado mioyo yenu ni migumu na mizito kama jiwe lililo chini ya bahari.
Hapa suala sio kuchafua jina la tanzania au majungu, hapa ni kuhakikisha serikali yetu inakuwa imara na kutoruhusu mtu yeyote kutumia ardhi yetu kusafirisha silaha kwenda kongo, kama yenyewe haihusiki kwenye hiyo biashara, period!
 
kwahiyo mkuu unataka tukuelewe kwamba unaona sawia kabisa kwa Tanzania iwe nchi au watanzania wachache kunufaika kwa kumwaga damu za wakongomani?
Kwahiyo unaungana na membe huku ukiwa na uelewa wako kamili ama umetumwa kumtetea membe?
kumbuka kuwa kuna ripoti kadhaa zimewahi kutolewa zikionyesha namna tanzania ilivyoshiriki/inavyoshiriki kusafirisha silha kwenda kongo na maeneo ya maziwa makuu. Hebert sauper alijaribu kuwaonyesha kile serikali yetu inachofanya, kama kawaida mkamshutumu hadi kuandamana kupingana na ukweli. Juzi kati hapa kuna wazalendo wametusaidia kujua kilichojificha ndani ya meremeta lakini bado mioyo yenu ni migumu na mizito kama jiwe lililo chini ya bahari.
Hapa suala sio kuchafua jina la tanzania au majungu, hapa ni kuhakikisha serikali yetu inakuwa imara na kutoruhusu mtu yeyote kutumia ardhi yetu kusafirisha silaha kwenda kongo, kama yenyewe haihusiki kwenye hiyo biashara, period!
Labda JF Great thinker tukubaliane jambo moja. Siku zote lazima tukubali jambo kwa kutokana na facts zilizopo mbele yetu na sio kukubali majungu.

Kila kitu kinacholetwa mbele yetu lazima kiwe kimepatikana kutokana na source ya kuaminika na wala sio kutoka kwa wahuni na wenye nia chafu.

Kwa kadhia hii source yetu ni UN na wala sio hao wahuni waliotumwa kuchunguza issue hiyo. Sasa kama source imeikana ripoti hiyo. Sisi kama Great thinker tutaikubali vipi? Je kwanini tusiseme kwa kinywa kipana kuwa hao ni wambeya na wana nia chafu kuiharibia TZ katika issue zake katika jumuiya ya kimataifa.

Kumbuka kuwa tutasimama kwenye ukweli pindi tukipewa facts na source ya kuaminika na wala hatutakaa kimya kutetea MAJUNGU.

Tutasimama kwenye ukweli daima hata kama utawachukiza wenye nia mbaya.
 
Labda JF Great thinker tukubaliane jambo moja. Siku zote lazima tukubali jambo kwa kutokana na facts zilizopo mbele yetu na sio kukubali majungu.

Kila kitu kinacholetwa mbele yetu lazima kiwe kimepatikana kutokana na source ya kuaminika na wala sio kutoka kwa wahuni na wenye nia chafu.

Kwa kadhia hii source yetu ni UN na wala sio hao wahuni waliotumwa kuchunguza issue hiyo. Sasa kama source imeikana ripoti hiyo. Sisi kama Great thinker tutaikubali vipi? Je kwanini tusiseme kwa kinywa kipana kuwa hao ni wambeya na wana nia chafu kuiharibia TZ katika issue zake katika jumuiya ya kimataifa.

Kumbuka kuwa tutasimama kwenye ukweli pindi tukipewa facts na source ya kuaminika na wala hatutakaa kimya kutetea MAJUNGU.

Tutasimama kwenye ukweli daima hata kama utawachukiza wenye nia mbaya.

Kama UN wameikana report (debatable) wewe mapovu ya nini sasa?
 
Labda JF Great thinker tukubaliane jambo moja. Siku zote lazima tukubali jambo kwa kutokana na facts zilizopo mbele yetu na sio kukubali majungu.

Kila kitu kinacholetwa mbele yetu lazima kiwe kimepatikana kutokana na source ya kuaminika na wala sio kutoka kwa wahuni na wenye nia chafu.

Kwa kadhia hii source yetu ni UN na wala sio hao wahuni waliotumwa kuchunguza issue hiyo. Sasa kama source imeikana ripoti hiyo. Sisi kama Great thinker tutaikubali vipi? Je kwanini tusiseme kwa kinywa kipana kuwa hao ni wambeya na wana nia chafu kuiharibia TZ katika issue zake katika jumuiya ya kimataifa.

Kumbuka kuwa tutasimama kwenye ukweli pindi tukipewa facts na source ya kuaminika na wala hatutakaa kimya kutetea MAJUNGU.

Tutasimama kwenye ukweli daima hata kama utawachukiza wenye nia mbaya.

Hizi ni spin za technicality, at best utakachofanya hapa ni ku buy time.

Lakini hata uki buy time vipi, ukweli haubadiliki.

Ningependa kufahamishwa UN imeikanaje hiyo ripoti.
 
Wasaaaalaaaam Aleiiiikum Mzee kibonde popote palenulipo...!!! UTAJUTA...............!!!!!!!!1
 
Back
Top Bottom