Epa,richmond and missing people.........

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,873
Hivi hawa
akina ringo tenga
na charles kimei.......
Hawapaswi kushitakiwa kwa lolote
kuhusu mchango wao kwenye ishu nzima
ya epa????

Sina kumbukumbu vizuri but nakumbuka
kwenye richmond au epa nilisikia majina
ya hawa watu yakitajwa,na sijasikia tena
wakizungumzwa....

Ni kwamba hakuna walichokosea kisheria au vipi????????????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom