Halisi vipi tena ndugu yangu? Mbona unatuacha solemba? Ni kweli JF tunapenda kupata habari moto moto tena nyeti ambazo ndiyo kwanza zimeipuliwa toka jikoni, lakini ni vizuri kuwa na habari kamili inayoeleweka kwa wasomaji wa JF na pia kuifanyia uchunguzi (kama inawezekana) ili kujua ukweli wa habari hiyo. Vinginevyo tutaanza kuweka madudu hapa baadaye ikaja julikana kwamba ilikuwa ni udaku tu. Tusishushe hadhi ya JF.
Haya siku na kazi njema
ni kuhusu mafisadi walishindwa kurudisha pesa za EPA.nasikia wamekamatwa mmoja wao anaitwa D.Ka........
kama kuna zaidi leteni
Vica kama unalijua hilo jina si uliweke tuu watu walichambue? D.Ka ndio nani?
Halisi vipi tena ndugu yangu? Mbona unatuacha solemba? Ni kweli JF tunapenda kupata habari moto moto tena nyeti ambazo ndiyo kwanza zimeipuliwa toka jikoni, lakini ni vizuri kuwa na habari kamili inayoeleweka kwa wasomaji wa JF na pia kuifanyia uchunguzi (kama inawezekana) ili kujua ukweli wa habari hiyo. Vinginevyo tutaanza kuweka madudu hapa baadaye ikaja julikana kwamba ilikuwa ni udaku tu. Tusishushe hadhi ya JF.
Haya siku na kazi njema
...Inakuwaje sasa mbona unatoa habari vipande vipande??? D.Ka......ndio nini si useme tu???Ah!!??ni kuhusu mafisadi walishindwa kurudisha pesa za EPA.nasikia wamekamatwa mmoja wao anaitwa D.Ka........
kama kuna zaidi leteni
Jeetu Patel kakamatwa na alikuwa afikishwe Mahakama ya Kisutu leo..
Mmh ila habari za kusikia nazo, tunashindwa hata kuzitetea...Mimi nimesikia kuwa wapo waliopo Kisutu kwa shughuli ya EPA, lakini ni wale 'kondoo wa sadaka' tu...
Baadhi ya picha za watuhumiwa wakiwa mahakamani ziko....
Hizi hapa:
Kutoka kushoto Lavendra Vinod Bhai, Amith Nandi na Jant Kumar wakiwa mahakama ya kisutu mchana huu. Wanatuhumiwa kuchota bilioni 10 kila mmoja.
..hawa nao wamo, kushoto ni Bw. Johnson Mutachukurwa Rwekaza anayedaiwa kuchota bilioni 6.3. Wengine majina yao hayakuweza kujulikana mara moja! Wameshindwa masharti ya dhamana na wametupwa lupango hadi Novemba 18 kesi yao itakapotajwa tena! habari ndiyo hiyo!!!
Baadhi ya picha za watuhumiwa wakiwa mahakamani ziko....
Hizi hapa:
Kutoka kushoto Lavendra Vinod Bhai, Amith Nandi na Jant Kumar wakiwa mahakama ya kisutu mchana huu. Wanatuhumiwa kuchota bilioni 10 kila mmoja.
..hawa nao wamo, kushoto ni Bw. Johnson Mutachukurwa Rwekaza anayedaiwa kuchota bilioni 6.3. Wengine majina yao hayakuweza kujulikana mara moja! Wameshindwa masharti ya dhamana na wametupwa lupango hadi Novemba 18 kesi yao itakapotajwa tena! habari ndiyo hiyo!!!