Halisi, hapo umenichangaya (samahani lakini nipo slow kidogo nadhani)... Una maana wamekataliwa rufaa?? Kingine ni kama una nyeti za makosa waliyosomewa manake hapo napo kuna mtego!!
Asante kwa dataz kaka manake hii kitu imefanywa - KIMYA KIMYA..........
Finaly...............Imani imenaza kurudi lakini mkuu hayo maswali mawili yatasaidia zaidi Mkuu.... Asante
Halisi, hapo umenichangaya (samahani lakini nipo slow kidogo nadhani)... Una maana wamekataliwa rufaa?? Kingine ni kama una nyeti za makosa waliyosomewa manake hapo napo kuna mtego!!
Asante kwa dataz kaka manake hii kitu imefanywa - KIMYA KIMYA..........
Finaly...............Imani imenaza kurudi lakini mkuu hayo maswali mawili yatasaidia zaidi Mkuu.... Asante
Habari ni kwamba kwa sasa wamefika kumi na tisa ni Wahindi mmoja Mwafrika. Angalieni Chanell ten muda si mrefu
Una maana jumla wako 10. kati yao ni wahindi 9 na mwafrika 1 ama nimechanganya mambo?
Ochu, bluhende, Boniface G. Mduma, Dark City, Domo Kaya, Freetown, Halisi, Kinyamana, Lione, Madaha, mahesabu, Maskini Mimi, Mfuatiliaji, Mtu Kwao, MyTanzania, Nungunungu, pingiring'ombe, Shy, ThinkPad, wendos, WomenofSubstanc
all these people are in suspense!!!
Jeetu Patel na wengine jumla wako saba wa EPA akiwamo wakili anayetajwa kwa jina la kamala na mwanamke mmoja