Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,136
mhh kama hadithi vile !!!epa,,nawaona jeetu patoli ,mama komu.he yule jamaa wa atc zamani manase he mkewe nae jamani!!!kweli mwizi ni mwizi tu huyu jamaa walimkimbiza south africa aliiba vibaya sana airtanzania kipindi kile alikuwa akichukua malipo ya tiketi za atc na kuweka kwenye acc yake siku wakiitaji analipa ,,mmmh na mkewe.!!!mbona hawa ni vipanya tu wakina davies na geofrey mosha ,labda kidogo wakina lema kweli utajiri uliwajia fasta fasta,,
any way by the way lengolangu wale wahusika wa kampuni za
MEREMETA NA TANGOGOLD NA DEEPGREEN YAKINA MASHA WAKO WAPI???
jakaya tunaomba usijiaibishe kwa hili kila mtu abebe msalaba wake mkuu
usiwalinde maswahiba wako ,hata hiyo kumtoa kafaara wakina jeetu ni maombi ya watanzania ,,omba mungu sana ukimficha mtu utajimaliza mweneywe=,
mungu ibariki tanzania
any way by the way lengolangu wale wahusika wa kampuni za
MEREMETA NA TANGOGOLD NA DEEPGREEN YAKINA MASHA WAKO WAPI???
jakaya tunaomba usijiaibishe kwa hili kila mtu abebe msalaba wake mkuu
usiwalinde maswahiba wako ,hata hiyo kumtoa kafaara wakina jeetu ni maombi ya watanzania ,,omba mungu sana ukimficha mtu utajimaliza mweneywe=,
mungu ibariki tanzania