kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 266
Lazima ujifunze:
1. Sayansi Kimu
2. siasa
3. Sanaa
4.jiografia
5.hesabu
6.sayansi kilimo
7.sayansi
8.kiswahili
Wakati wa mapumziko lazima ucheze,
1. Mpira (Chandimu, one touchi, mputo)
2. Netboli na rede
3. Mdako
4. Bong'oa
5. Kula m'bakishie baba
6. Kubanjua Gololi
7.mnataniana kwa kutomoana
8.mnasimuliana movie za kihindi kina amithah bachan,mithun,chuck noris,amjed khan.
9.kucheza kiboleni
Msosi wakati wa mapumziko.
1. Mihogo ya kukaanga na chachandu
2. Aishiklimu
3. Barafu
4. Kashata
5. Bagia (za walimu)
6.vibama
7.gubiti
8.ubuyu wa rangi
9.ukwaju
10.visheti
nguo
1.unavaa kaptula 2 kuzuia maumivu ya viboko
2.unaweka daftari au gazeti ndani ya kaptura basi tigo ikionekana kubwa mwalimu anakuambia vua
1. Sayansi Kimu
2. siasa
3. Sanaa
4.jiografia
5.hesabu
6.sayansi kilimo
7.sayansi
8.kiswahili
Wakati wa mapumziko lazima ucheze,
1. Mpira (Chandimu, one touchi, mputo)
2. Netboli na rede
3. Mdako
4. Bong'oa
5. Kula m'bakishie baba
6. Kubanjua Gololi
7.mnataniana kwa kutomoana
8.mnasimuliana movie za kihindi kina amithah bachan,mithun,chuck noris,amjed khan.
9.kucheza kiboleni
Msosi wakati wa mapumziko.
1. Mihogo ya kukaanga na chachandu
2. Aishiklimu
3. Barafu
4. Kashata
5. Bagia (za walimu)
6.vibama
7.gubiti
8.ubuyu wa rangi
9.ukwaju
10.visheti
nguo
1.unavaa kaptula 2 kuzuia maumivu ya viboko
2.unaweka daftari au gazeti ndani ya kaptura basi tigo ikionekana kubwa mwalimu anakuambia vua