The Mockingjay
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 380
- 121
Jani tu la mpapai jamani? pepo litakuwa hilo
Dada Gaga,
Labda jani lilikuwa bichi, lakini mama alikuta mtoto amefariki na ameangukiwa jani la mpapai.
The original Mullah Omar was a one-eyed bad man na aliangukiwa na missile. Kweli tuangalie majina tunayowapa watoto wetu.