kwangu nikiwa na ela ata kuelewa nilikuwa sielewi kabisa yaani nilikuwa naomba kengele igongwe haraka nikatumie.
nilikuwa namuomba bibi sh 10, afu naenda kununua sukari guru mbili, kila kipande kilikuwa kinauzwa sh 5, nikifika shuleni mi nakuwa tishio, anaetaka nimgawie kidogo lazima anibebee kwanza mkoba wangu wa madaftari kuanzia shuleni hadi nyumbani.
Wana jf naombeni tukumbushane vitimbi vya primary enzi zile. Nakumbuka ilikua ukinunua andazi unaliweka mdomo zimazima au unalitemea mate ili usiombwe du! Kanyaga twende
Nilikuwa na mademu 2 wote watoto wa walimu. Kila ikifka saa 4 mara huyu kaleta karanga mara yule kaleta mihogo bac kidume n kujichana tu. Tena tulikuwa tunaenda kulia chooni ili watu wasiombe.