Enzi ulipokuwa boarding

Nakumbuka tulipokuwa form 2 kibaha sec,tuliunda makundi mawili,TERROR SQUAD na MURDER INC.mi nilikuwa TERROR SQUAD,basi mwalimu wa nidhamu mr.kunambi alizinasa habari kuhusu haya makundi.Yeye aliamini MURDER INC ni kundi la wauaji na TERROR SQUAD ni magaidi.Basi aliapa kuwakamata members wa makundi yote na kuyavunjilia mbali.Baada ya upelelezi mkubwa,tulikamatwa wote,kengele ya dharura ikapigwa,watu wote mstarini.Tukapitishwa mbele watu watuone,mwalimu wa nidhamu akahoji malengo ya makundi yetu ni nini,tukajibu ni 'just for fun'.Mwalimu hakujua kuwa yale ni makundi ya music huko marekani,hata hivyo tulipigwa marufuku na huo ndo ukawa mwisho wa makundi yetu.
 
Me nakumbuka tulipokuwa form 3,shule yetu ya gals tupu,bweni letu la form 3 lilikuwa mbali kidogo na mengine afu limejitenga flani na mabweni mengine,tulikuwa tunapenda sana kuoga nje(kuna kisehemu kilikuwa kama kibaraza),basi kuna mwalimu mmoja alikuwa hapendi sana hiyo tabia akatuchimba mkwara NIKIWAKUTA MNAOGA TENA HAPO NJE NTAWAFUNGA NYUCHI ZENU NA MINYONYORO NA KUWAVUTA HIVYO HIVYO HADI ASSEMBLY.
 
Me nakumbuka tulipokuwa form 3,shule yetu ya gals tupu,bweni letu la form 3 lilikuwa mbali kidogo na mengine afu limejitenga flani na mabweni mengine,tulikuwa tunapenda sana kuoga nje(kuna kisehemu kilikuwa kama kibaraza),basi kuna mwalimu mmoja alikuwa hapendi sana hiyo tabia akatuchimba mkwara NIKIWAKUTA MNAOGA TENA HAPO NJE NTAWAFUNGA NYUCHI ZENU NA MINYONYORO NA KUWAVUTA HIVYO HIVYO HADI ASSEMBLY.
Nilikuwa naishi mitaa ya kingalu morogoro karibu kabisa na hosteli za morogoro sec girls,basi mida ya jioni jioni,mabinti wa morogoro sec ilikuwa ndo tabia yao kuoga nje.Mkipita nje ya fensi hata kama hamjawaona,watapiga kelele mpaka mjue kwamba wapo nje na wanaoga nje.
 
Mimi niliitwa na jamaa fulani kama watatu hivi...wababe kwelikweli na walikuwa form III na IV, wakanionyesha mdada mmoja form IV wakaniambia ana jambo la kuniambia. Nilipofika kwake akaniambia..."nitongoze mpaka nikubali"!! Jasho lilinitoka haswa ukizingatia kwanza nilikuwa mdogo sana (of course maneno ningekuwa nayo, lakini unaanzaje kuyatoa katika mazingira hayo?). Basi nikaweka mgomo, wale jamaa wbabe walinipiga mkwara na kunirusha kichura kidogo. Wakaniambia nisipofanya hivyo nitatembezewa kichapo hadi sitasahau. Nikajitahidi kuunda maneno kweli naye akajifanya anakataa ili nimbembeleze zaidi, wale jamaa wakanichimba mkwara...we unamtongoza bibi yako? Njoo hapa!! nilitetemeka sana lakini waliishia kunicheka tu na kuniambia: "tulitaka kuona kama unayakumbuka maneno hayo..." wakaniachia nikaondoka...
 
Mkwawa high school kwa sisi tuliosoma o level seminari tulipata shida sana nyakati za mwanzo kusoma na mabinti hasa nyakati za prepo. Kombolela hasa siku za jumatatu katika mabweni ya wavulana...

Mkwawa Complex and Casino, I just love it...Nilikwenda kufanya 'hijja' pale but was sad coz sasa imekuwa university. The government needs to preserve some sites for historic interests.
 
Kama haitoshi,tukiwa kibaha sec form 2,tuliweka ligi ya kuvaa jeans kwa muda mrefu bila kuifua.sharti ni lazima hiyo jeans iwe ya rangi ya blue na ni lazima uivae kila siku.Watu kibao walijitoa kwenye ushindani,hadi mwisho mshindi alikuwa dogo mmoja wa kichaga,jina kapuni aliyevaa jeans wiki 13 mfululizo bila kuifua,zawadi ilikuwa kununuliwa jeans mbili mpya na kila mshiriki alichanga kwa ajili ya hiyo zawadi.
 
pale KIBITI SEC SCHOOL Kulikuwa na ticha wa kike ambaye ilipokuwa zamu yake hupita kila dom kuwaamusha madent, basi bwana ipo cku tukakubaliana kwamba tulalapo hamna kujifunika shuka, hamna kushusha net wala kulala na nguo yoyote ile ikiwemo CHUPI, Alipokuja maadam karudi mbio akipiga makelele na toka ck hyo alikata mguu kuamsha watu

ebwana hiyo ni balaa! Tehe tehe tehe...mia sana! Sipat picha ticha angekuwa men alaf kaenda kwa madem,then madem ndo wamefanya kama nyinyi mlivyofanya! Hapo vp? Angekimbia? Au kitu mnara..teh teh
 
Mi nakumbuka mwaka 1994 tukiwa sengerema secondary a.k.a Singapore, ile tunaingia form 5 kuna mwalimu mmoja tulimkuta anaitwa mwalimu BUGA.kumbe bwana lilikuwa jina la utani...siku moja akanikamata sijaenda parade, basi akawa ananiuliza namjua yeye ni nani? me kwa kujiamini nikamwambia wewe si mwalimu BUGA.. aiseeeeeee nilichezea kichapo cha hatari..kumbe bwana BUGA lilikuwa jina la utani,,kwa vile alikuwa anavaa suruali zile BUGA..yaani ile juu imebana afu chini umemwagika..ahahaha sitasahau kabisa..

nilikuwa nimenuna,lkn kwa hii,nimecheka mpaka saiz bado naendelea yani,na kila nikikumbuka,nacheka!
 
Nakumbuka nikiwa form one Marangu Sec enzi hizo huwa ikifika saa nne usiku taa zote zinazimwa (sijui ndo bajeti),basi bana kuna jamaa akabanwa na haja na kwa uoga wa giza lile akajisaidia nje yabweni mlangoni kabisa kile kinyesi kikalala na kushinda siku nzima kesho yake,enzi hizo kulikua na kiranja mmoja akijulikana kama kamanda mosha nakumbuka miguu yake ilikua na matende flan so akikubutua teke kama roberto carlos kapiga foul...Alichofanya alikuja na viongoz wenzie saa saba usiku tukiwa tumelala na kutuamrisha kila mtu kubeba kidogo kidogo kinyesi kile kwa mikono sio karatasi wa jani la mti...mzee mzima nilibeba kinyesi cha mtu doh
 
Nakumbuka pale Mzumbe tulikuwa na utaratibu wa kuangalia VITAFUNWA(PORNO) kule assembly hall mishale ya usiku sana watu wakiwa wamelala. Members tulikuwa tunajuana. Yaani ukiamka asubuhi ukaambiwa jana yake kulikuwa na kitafunwa na haujaona unahuzunika sana maana vilikuwa adimu.

Siku moja usiku tumejificha,, waangaliaji wanajijua wakisoma hapa. Si Mzee Mwasha Headmaster akatokea kwa nje na kuchungulia... hahaha, tukachange channel faster ikawa blue, sasa Mwasha akacheka, hawa jamaa wanacheki porno halafu wameweka screen ya blue hahahaha!

Basi kesho yake tu, chakula kina mafuta ya taa aibuu,
 
Enzi zetu za Lyamungo sec ilikuwa ni mtindo wa ndevu tulianzisha chama cha wenye ndevu-na kujiita kuwa wenye ndevu ndo real men-sasa kukawa na vyeo,mwenyekiti,katibu n.k-ila ili uwe na cheo inabid uwe na ndevu nying sana kuliko wengine ndo utashika hicho cheo-kwa kweli tulijitahid sana kuweka ndevu na kukwepa walimu-ila kuna mr mmoja alikuwa ana asili ya kiarabu-kwa kweli hakuna aliewai kumto kwenye cheo chake cha umwenyekiti-maana yeye kwanza ana ndevu sana-akinyoa leo ndani ya siku 2 tu zshaanza kuota kwa spid sana-then alimfuta discipline master akamwambia kuwa anasumbuliwa na vipele anapokuwa ananyoa-kwa hio akaruhusiwa kufuga kidgo lakini yeye akawa anazidisha-kwa kweli kwa technic alotumia hatukuweza kumvua cheo chake mpaka tumemaliza shule
 
Nakumbuka mashindano ya kujamba niko f. 3.tulikuwa tunakulamaharage changanya na sukari na ugali mwingi mkitoka prepo tunakula kiporo tena cha beans ,kwenye saa 4.tunatulia kwenye cube mtu akitoa ushuzi muhimu ni ile sauti na lazima mwingine ajibu.kulikuwa na milio kama ya trekta,ndege ,filimbi ...
Nyie mlikuwa kiboko......ahahahaaah!!
 
Nakumbuka wakti tupo O'level pale Azania na tabia ya kupiga chabo kwa Teacher wetu aliyekuwa anahusika na mambo ya Hostel, na ilikuwa ni ratiba yake kila ijumaa lazima alikuwa analeta mwanamke basi ikishafika mida ya saa 4 usiku tulikuwa tunaenda usawa wa chumba anacholala tunapanga Meza na viti kisha tunaanza kula chabo, sometimes tulikuwa tunatukanana, gombaniana ili mradi tuone nini Ticha alikuwa anafanya na ikifa Jumatatu ilikuwa hamna story nyingine... Basi tulikuwa tunawatamanisha madenti waliokuwa wanakaa Home
 
Wazee wa mazengo Mpoooo? Kwa Kweka usiombe, Nilikuwa nakaa lile Bweni la Askofu, na yule mwalimu mwingine, yeye alikuwa anafundisha olevel Kithungu ilikuwa zero, sasa akawa anatoa Speech of a day...." Dear students, we intruce to you a new timetable of Makande, chew it then tell us" akimaanisha kaeni muijadili halafu tuambieni kama inafaa..alikuwa anafundisha drawing, akiwa na kitu cha kuchora, anavizia madent wakiwa hawaangalii then anachora faster kinoma, then anatambaa zake kama vipi madent ndo waende kuomba wachore.....Jina simkumbuki...headmaster yeye, ngoma iliwatuma madent kwenda kuiba viti dom sec, vilipoingia tu vilipigwa chapa ya mazengo, headmistress alipokuja akaambiwa angalia kama kuna kiti chako...all mazengo sec school...
 
Nakumbuka enzi za afande miraji makongo basi kulikuwa na mti wa maembe karibu na canteen ya shule ile kuona maembe yameiva akajua kuna madenti waroho wa maembe basi akaandika kibao 'ANGUA EMBE' akakitundika juu yake. Looh hakuna hata dent aliyedhubutu kusogea karibu. Kulikua na matoz wa pre form 5 walikuja kurudia masomo kuona kile kibao wakajua ruksa wakapanda kuangua embe afande miraj akawakamata kwenda kuwapa adhabu wakajua ni kwenda kupewa msitu kufyeka cha kushangaza kawapeleka kwenye ofis yake ilikuwa banda la mabati mbele yake kulikuwa na kisima cha taka basi kawaambia nisubirin hapa aingia ndan karudi na redio kaweka Taarab(mipasho) akawaambia haya vidole juu na muanze kuimba atakae onyesha mautundu atasamehewa.ilkuwa very funy
 
Nakumbuka enzi za afande miraji makongo basi kulikuwa na mti wa maembe karibu na canteen ya shule ile kuona maembe yameiva akajua kuna madenti waroho wa maembe basi akaandika kibao 'ANGUA EMBE' akakitundika juu yake. Looh hakuna hata dent aliyedhubutu kusogea karibu. Kulikua na matoz wa pre form 5 walikuja kurudia masomo kuona kile kibao wakajua ruksa wakapanda kuangua embe afande miraj akawakamata kwenda kuwapa adhabu wakajua ni kwenda kupewa msitu kufyeka cha kushangaza kawapeleka kwenye ofis yake ilikuwa banda la mabati mbele yake kulikuwa na kisima cha taka basi kawaambia nisubirin hapa aingia ndan karudi na redio kaweka Taarab(mipasho) akawaambia haya vidole juu na muanze kuimba atakae onyesha mautundu atasamehewa.ilkuwa very funy
 
Mkwawa Complex and Casino, I just love it...Nilikwenda kufanya 'hijja' pale but was sad coz sasa imekuwa university. The government needs to preserve some sites for historic interests.

Nyie ndo mlikuwa mnakuja kununua "mabanzi" makanyagio??? ha ha ha ha h ha!!! Unapakumbuka mgahawani kwa paul,mzee chuwa??? au ulikuwa mpendwa unashinda mabwenini unamwogopa masebo??? Tende alivyokuwa akiwafukuza na defender mpaka vichochoroni!! duh!! maisha yenu ya mkwawa yalini-impress kupenda shule kichizi!! Nikiwa o-level kipindi hicho!!
 
Kuna mwaka nilipelekwa Kenya kusoma mji mdogo nje ya Nairobi unaitwa Thika,shule ya boarding mchanganyiko,nikamtongoza demu mkikuyu na tukaahidiana baada ya prep tukutane nyuma ya dining hall kwa 1 ya chapchap lakini sharti lake hatosheki na mmoja nije na 2 wengine.Nikawatonya wabongo 2 Kimanzi kutoka bukoba na Laizer kutoka Arusha tukampiga mande.Wawili wanalinda usalama mmoja akila mzigo,akimalza nae analinda mwingine anaendelea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom