Niifananishe na nini dunia hii ninayoishi, imefanana na nguo iliyochakaa, iliyojaa viraka kila sehemu.
Hebu angalia leo hii mambo yanayofanyika duniani, mara kuhalalisha ukameruni, wizi wa kimachomacho wa watawala, migomo kila pembe ya dunia. Haya yote ni tofauti na enzi zile.
1.Enzi zile ili binti aolewe ni lazima awe hajachakachuliwa.
2.Enzi zile kiongozi alikuwa anawajibika kwa raia wake lakini leo hii kiongozi anawajibika kwa tumbo lake.
3. Enzi zile uongo haukuwa kama leo. Leo hii mtu kwa kutumia kimdomo cha shetani(simu) anaulizwa swali uko wapi anajibu niko ofisini kumbe yuko gesti na mke/mme wa mtu.
4........................
5........................
Handsome wa mama nawasilisha, waweza ongezea mambo ambayo yalifanyika enzi zako lakini leo hii yanafanywa kwa hali ya tofauti na kipindi kile.
Hebu angalia leo hii mambo yanayofanyika duniani, mara kuhalalisha ukameruni, wizi wa kimachomacho wa watawala, migomo kila pembe ya dunia. Haya yote ni tofauti na enzi zile.
1.Enzi zile ili binti aolewe ni lazima awe hajachakachuliwa.
2.Enzi zile kiongozi alikuwa anawajibika kwa raia wake lakini leo hii kiongozi anawajibika kwa tumbo lake.
3. Enzi zile uongo haukuwa kama leo. Leo hii mtu kwa kutumia kimdomo cha shetani(simu) anaulizwa swali uko wapi anajibu niko ofisini kumbe yuko gesti na mke/mme wa mtu.
4........................
5........................
Handsome wa mama nawasilisha, waweza ongezea mambo ambayo yalifanyika enzi zako lakini leo hii yanafanywa kwa hali ya tofauti na kipindi kile.