hahaha kweli enzi hizo! Halafu kulikuwa na sabuni zinaitwa kodrai, komoa hivi bado zipo zilikua sabuni nzuri za kufulia.
hizi chupi zilikuwa zinapanda juu zinakuwa kama vest hahahaha, hivi bado zipo? ukiipata nyekundu ilikuwa pouwa sananani aliwahi vaa chupi ya v.i.p hapa