The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Hapo inaelekea walikuwa kwenye mkutano mkubwa wa chama miaka hiyo wakimsikiliza mwalimuUbwabwa ulikuwa unasubiriwa sijui wapi?
namwona fisad lowasa kashika tama hapo kwa nyuma
nyerere hakuwa na utani hapo nyerere anawapa somo uvccm
Huyo nyuma aliyekula mawani sio mzee mamvi kweli?
Kibaka ni kibaka tuu. Hata akiwa ikulu atabaki kuwacfisadi tuu.Hivi kwanini wa jf wengi wanamwita Lowasa fisadi? Hivi huyu Lowasa hana mazuri aliyofanya watanzania wakayakumbuka? Hivi ikitokea akapenya na hatimaye kufanikiwa kuwa mkuu wa kaya mtaendelea kumwita fisadi? Mbona sipati picha
Unaweza sema anaelewa kinachoendelea hapo kumbe patupu...
Huyo nyuma aliyekula mawani sio mzee mamvi kweli?
Hivi kwanini wa jf wengi wanamwita Lowasa fisadi? Hivi huyu Lowasa hana mazuri aliyofanya watanzania wakayakumbuka? Hivi ikitokea akapenya na hatimaye kufanikiwa kuwa mkuu wa kaya mtaendelea kumwita fisadi? Mbona sipati picha
Hivi kwanini wa jf wengi wanamwita Lowasa fisadi? Hivi huyu Lowasa hana mazuri aliyofanya watanzania wakayakumbuka? Hivi ikitokea akapenya na hatimaye kufanikiwa kuwa mkuu wa kaya mtaendelea kumwita fisadi? Mbona sipati picha
Makosa mawili hayawezii undaa jambo sahihi moja .
Kama kweli ni au ali kuwa fisadi haimaanishi mema aliyowahi kuyafanya yatafuta baya alilotenda mwanzo..
:what:Usivyonielewa sasa huo msemo wa makosa mawili hauzai zuri umekujaje hapo wacha tarehe 12 utajinyonga wewe
ndio mwenyewe mkuu