Enyi wanawake wa JF. . . . !!!!

Kama mwanamke SEALED wouldnt judge the other person otherwise. Kama keshaonja mitwangio mingi, atakuheshimu, maana mwanaume bikra very rare.
 
MadameX,hebu nitafsirie hiyo ver rare ndo nini vile. .Lol!
 
Eiyer hiyo sasa siri yangu, au kwa nini usimuulize Kaunga Kuwa alitongozwaje na wewe??

Inaonekana umesahaueee!Yeye ndo alinitongoza,hatujado lakini!Namsubiri aje aitoe bikra yangu. . . .Lolz!
 
Last edited by a moderator:
mwanaume akiwa 'bikra' anaogopwa sana kwani mh, huyu akionja tu asali hiyo hakawii kunogewa na kuwa limbukeni wa mapenzi na kutaka kujaribu kila amuonaye..anakuwa ndio anaanza wakati mwenzake anataka atulie....so ni bora ugonge kwanza uanze kupata experience kuliko kuwa beginner uanze kusumbua watu wakufunde!
Hivi ukijua mwanaume anaekutongoza na amekuambia atakuoa,halafu pia ni bikra wa kiume,yaani hajawahi kugusa "box manyoya",je utakubali au utamuona kama mshamba na asiejua lolote?Jamani nataka kujua kama nitapata mwanamke au nipige jalamba kwanza na ushamba wangu huu. . . . . . . . . . . . !!Ni changamoto gani anakabiliana nazo mwanaume kama huyu?Hebu kuweni wazi bana. . . . . . . . . .
 
Binti sayuni kwahiyo na mimi nikipata sitahangaika?
 
we acha, hakuna kama Asprin, na simuachi ng'oooo
Waambie kabisa.... mimi na wewe ni kitu kimoja....
318257_307508362657831_1121979197_n.jpg


Siyo kama wao bana.......
560372_280731255335542_1657763075_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom