chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Anawachelelewesha watu kazini maana lazima kwanza waone michezo kama yeye yupo
Huyu jamaa anafanana sana na Kafulila
Mi namkubali sana enock akitanga habari za michezo huwa anapenda kuonyesha magoli, namfananisha na pedro pinto wa cnn nachukia kuangalia habari za michezo tbc alafu atangaze mdada,
Huyu jamaa anafanana sana na Kafulila
Pendael Omari??