Wanataka kujiridhisha tu kama kweli ngeli inapanda! Lakini ni nchi na nchi ndiyo wanataka hayo mambo!Kuna nchi nyingine hawanampango na hiyo kitu na kuna nchi nyingine mpaka uwape vyeti vya TOEFL au IELS ambavyo vinapatikana baada ya kupiga pepa embassy za marekani na UK.