Kalumbesa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,013
- 356
Haya wadau wa soka..ligi kuu ulaya zimekwisha lakini fursa ya kushuhudia kandanda safi na maridadi bado ipo..hii game inachezwa leo tarehe 12/06/2011 mishale ya saa tatu na dk 45 saa za tanzania..Itakuwa ni mechi kali hasa ikizingatiwa timu zote mbili zinaundwa na vijana waliochipukia wengi wao wakiwa wameshawika katika ligi kuu za ulaya..Kwa upande wa England wapo vijana hatari kama Daniel Sturridge(Chelsea),Jordan Henderson(Liverpool), Chriss Smalling(Man Utd),Phil Jones(Blackburn and Man U bound),Marc Albrighton(Aston Villa),Jack Rodwell(Everton),Connor Wickham(Ipswich Town) na kwa upande wa Spain kuna vijana hatari kama Bojan Krkic,Thiago Alcantaraz,Jefren Suarez(Barcelona), Juan Manuel Mata(Valencia), Javi Martinez(Athletic Bilbao), Diego Capel ( Sevilla) na Daniel Parejo( Getafe )...
Kwa wale wadau wa soka maridadi..This is a game to watch !!
Kwa wale wadau wa soka maridadi..This is a game to watch !!