Engineers wa St. Joseph College na GPA kubwa kubwa

ndio maana wanajenga majengo yanaanguka! watu GPA ziko juu lkn kichwani empty:redfaces::redfaces:
 
Usiwe na Wasi wasi Originator;
Kwa hakika inapofika ktk ishu ya kupata kazi hasa kwa wahandisi, kinachootazamwa zaidi ni SKILLS(Individual Practical performance) na siyo siyo GPA ya 4+, Wahandisi walio wengi na wazuri wanapatikana sana TU kati ya GPA 3.2-4 hivi.
Wengi sana wanadhalilika na GPA zao kubwa kubwa huku wengine walio na GENTLEMAN zao wakipeta.
Usiwahofu THREAD yako hata waajiri imewafikia:A S 114:
 
Hivi mna habari India ndio kwa sasa inaongoza dunia kwa maengineer hasa wa IT?
 
hii ni biashara tu mzee GPA mie nadhani kisiwe kigezo cha mwanafunzi kupata kazi kwasababu kama hao wanapewa tu na yule anaehangaika akalalamike kwa nani
 
Ni ukweli usiopingika kwamba kuna wakati hizi GPA kubwa ukija huku mtaani huwa ni tabu tupu wengi wao wanashidwa kuderiver, lakini kupewa GPA ndogo pasipo na sababu za msingi nayo ni tatizo, kumbuka nafasi nyingi za masters udsm Engineering wamejaa vyuo vingine kama UCLAS na kadhalika, kwa sababu wenyewe udsm GPA zao zimeshaharibiwa, pamoja na hayo Engineers mara nyingi huweza kushindana na mtu wa fani nyingine, mfano kuna wakati UN walitangaza nafasi za kazi walikuwa wanataka any graduate from any course wanam-train kisha unapewa kazi lakini hakuna eng hata mmoja aliyepata zile kazi kwa sababu walikuja graduate wa SUA(home economy), UClLAS,SAUTI wana GPA za kufa mtu waka clear kazi zote. Kupata GPA ndogo iwe automatic sio forced kuna lectures kama barabara, trafic signalazation, maji, steel structure ni wakomaaje mpaka hawafai masoma yao umefaulu sana umepata kalai C nayo kwa sup, miaka yote unasoma huna amani mambo gani hayo.
 
Hivyo vyou vya jamii ya wahindi lazima watumie kila mbinu watu waonekane wanafaulu ili wapate masoko zaidi.Pia hao patime Dr wakiwafelisha hakuna job ya ziada...Lakini kule UDSM wanahuakika na pia mtu akirudia mitihani kila anayerudia anapewe allowance ya kutunga mtihani wa SUPP..hiyo ndo UDSM .Mfano darasa lina wanafunzi 350 Engineering wanapafaul 50 wengine 300 SUPP.(Tsh 10,000 x300=3,000,000) na hiyo ilikuwa miaka ya 1997-8..Kwa mtaji huyo GPA UDSM zitakuwa chini...
 
Hivyo vyou vya jamii ya wahindi lazima watumie kila mbinu watu waonekane wanafaulu ili wapate masoko zaidi.Pia hao patime Dr wakiwafelisha hakuna job ya ziada...Lakini kule UDSM wanahuakika na pia mtu akirudia mitihani kila anayerudia anapewe allowance ya kutunga mtihani wa SUPP..hiyo ndo UDSM .Mfano darasa lina wanafunzi 350 Engineering wanapafaul 50 wengine 300 SUPP.(Tsh 10,000 x300=3,000,000) na hiyo ilikuwa miaka ya 1997-8..Kwa mtaji huyo GPA UDSM zitakuwa chini...

Mkubwa hapo kwenye RED sio kweli! unadanganya umma wa wana JF
 
Ni kweli hapo UDSM kila mwanafunzi anayefanya Supp DR.au Prof anayerudia kutunga paper anapewa allowance per each student..nina huakika 100.
 
Ni kweli hapo UDSM kila mwanafunzi anayefanya Supp DR.au Prof anayerudia kutunga paper anapewa allowance per each student..nina huakika 100.

Mkuu, nadhani unachokisema si sahihi kabisa!! Yawezekana una "rely on hear say" As per Institutions of Higher Learning, UDSM being one of them when it comes to administration of examinations there are the following things to be adhered with:
1. Rates for setting examination papers.
2. Rates of marking examination scripts.
3. Rates for moderating examination papers.
4. Rates for invigilating examination sessions.
The figures that you gave are quite unacceptable, otherwise colleges can run bankruptcy because of supervising the examinations.
Conduct thorough research before you say anything public!!
I submit and i beg to be corrected!!
 
Ni kweli hapo UDSM kila mwanafunzi anayefanya Supp DR.au Prof anayerudia kutunga paper anapewa allowance per each student..nina huakika 100.

NYENJENKURU, hizo ni taarifa za redio mbao au labda umesikia kwa watu bila kufanya utafiti. Udsm haitoa allowance yeyote kwa lecturer yeyote kutunga, kusimamia au kusahihisha mitihani ya sup.
 
nakupenda sana coet/foe/UHANDISINI Kumenipa misimamo/MAARIFA am pratracising my engineering stuff na siku moja umma utatambua mimi ni mhandisi kwa kuwa waleta watanzania mabadiliko katika fani niliyosomea PAMOJA NA GPA YANGU NDOGO WAHANDISI TUAMKE TUOKOE NCHI INATUHITAJI MAMBO MENGINE NI MBWEMBWE NI AIBU SANA TUNAVYOSHINDWA DELIVER KITAA.
REFER HAYO MAELEZO HAPO CHINI
An engineer is a professional practitioner of engineering, concerned with applying scientific knowledge, mathematics and ingenuity to develop solutions for technical problems. Engineers design materials, structures, machines and systems while considering the limitations imposed by practicality, safety and cost.[1][2] The word engineer is derived from the Latin root ingenium, meaning "cleverness".[3]

SASA JAMANI HABARI YA GPA KWA COET NAOMBA KAMA UJAPITA PALE KAA KIMYA TUNAIFAHAMU ELIMU YA PALE UHANDISINI NA UKOMOAJI NA UGUMU WAKE ILA PEOPLE WANAOPITA PALE REALLY THEY PERFORM .SITAKI KUAMINI KAMA YULE YULE ALIYEKUONGOZA FORM SIX WEWE NA WEWE UKAONDOKA NA DIV 3.16 KWAMBA AMEBADILIKA KIASI HICHO KUSHINDWA DEVELOP CONCEPT ALIPOKUWA ANAKUFUNDISHA MIKIWA NAYE A LEVEL NA WEWE BINAFSI KUMKUBALI JAMAA NI KICHWA ANAELEWA WALA AMEZI(AKARIRI).
YOTE KWA YOTE YOUR PERFORMANCE KWENYE ULIMWENGU WA KWELI NDO KINACHOHITAJIKA KAMA ULIWEZA KUDEVELOP CONCEPT MWENYEWE HUKUWA UNATUMIA MADESA WHY USHINDWE KUPERFORM
 
kwani ni kipi cha ajabu kwa wanafunzi wa st joseph kupata gpa kubwa ila wangekuwa wa udsm msingesema kwa kuwa ni haki yao,udsm ilikuwa zamani siku hizi chuo kimepwaya madesa kwa kwenda mbele utafikiri wanafunzi wa iteba vocational training centre

umenikumbusha hadithi ya sizitaki mbichi hizi nilipokuwa primary school std 4
 
mkuu anzia chini tu ngazi ya secondary hao st.marian sijui st.francis walimu wao ndo wanaosahihisha necta?
mimi nimeshakuwa na vijana wengi wa field toka vyuo mbalimbali katika site za ujenzi lakini hao vijana toka st.joseph wanaonesha wako vizuri ki pracritical zaidi na wanaonesha kujiamini na nidhamu ya hali ya juu!
 
Kweli wakoloni wametuharibu. Kwahiyo for the rest of Tanzanians life hatukutarajia kuwa na wanafunzi wanaofaulu kwa daraja la juu ktk fani ya uhandisi!?
Kuna Dr. M1 pale DIT aliwahi kusema kama angefanya pHd yake UDSM ingemchukua hata a decade kukamilisha. Instead alisoma Florida State Univ ambapo according to him Proffesors and Drs are happy and proud seeing their students pass and performs. Contrary to UDSM where the lecturer is praised kwa kufelisha na au kukamata zaidi ya nusu ya darasa. Kuna ma prof ambao wanaamini kuwa hapatatokea mtu akawa kama wao thats y wanatunga mitiani migumu purposely ili kuendeleza fikra mgando. Maybe kuna haja ya kudefine ualimu ni nini au nia ya kufundisha ni ipi!?
im all eyes!♥
 
ukiingia tu st.joseph una uhakika wakumaliza utake usitake lazima ufaulu muhimu tu usiwe unaingia na simu chuoni maana ndo sheria yao kuu..pale wanatoa degree ya miaka mitano kwa wale waliomaliza form four..
 
Kama uhandisi ungekuwa wa GPA duuh, some wangekuwa wanafuga kuku kama jamaa mmoja alivyosema hapa! Jamani tusisahau kuwa in order to do well in life and careers/professions, we should invest alot on life learning programs. We must keep on learning and learning continuosly.

Hizi GPA za madesa hazina nafasi kama mtu hautakuwa creative na kuonyesha nia ya kutaka kupata achievement.

Nakumbuka chuo kuna Dr Mmoja alikuwa mahili kwenye soil mechanics na akawa anafanya karibu consultancy zote za stuctures kubwa kubwa. Yeye yule Dr wakati anafanya kweli kwenye practicals, na kujiingizia kipato, alibaki kuwa assistant lecturer kwa muda mrefu. Alichokuwa anafanya kuna maprofessor walikuwa wanavikimbia.

Come on guys, GPA is one thing and delivering outstanding results is completely another. Kitu cha kuangalia sana ni kutojidumaza kusolve madesa na kusahau kudevelop skillls za kuwa learners.Hapo tutakuwa tumekosea sana na tutaendeleza wimbo ule ule uliozoeleka kwamba serikali haiwajali engineers. Kama wao hawajijari nani unafikiri atawajari.

We earn most of the good things in life. They never come kama gifts.

Mtaalam wa Soil Mechanics na Foundation Engineering, lakini pia Highway and Transportation Engineering nadhani ni Dr Nya..r.. wa CoET.Namkubali kwa mambo ya Geotechnics! Kama alivyosema mdau ripoti nyingi za hali ya udongo kwa majengo na miradi mikubwa yeye ndo huandaa ripoti hizo, lakini uprofessor wenzake wanamuwekea ngumu, lakini kwa dhati jamaa yuko vizuri, anajua aisee!
 
Usiongee kizembe kizembe wakatoliki wapo serious n elimu kile chuo kinaendeshwa kwa misingi y seminari na tunapoelekea engnrng ya pale itakuw marketable zaidi y udsm
 
Back
Top Bottom