Sinkala
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 1,773
- 683
Nimekuwa na ukaribu na baadhi ya graduates wa fani ya uhandisi kutokana na kwamba either nimefanya nao kazi au nimewahi kuwa class-mate wao katika level mojawapo from secondary to university.
Kati yao, wengi wamegraduate either CoET (UDSM), DIT au St. Joseph's College of Engineering. Wapo wachache pia wa SUA (NB kuna Engineering pia pale).
Katika vyuo hivyo, nimegundua hawa wa St. Joseph's waliograduate juzi kati hapo kwa mara ya kwanza tangu kianzishwe (esp waliosoma 4 yrs), wamekuwa na GPA kubwa kubwa sana. Wengi darasani wamepata GPA za 4 point something zinazofikia hadi 4.8 , huku vyuo vingine vya Uhandisi graduates wake wakipigana hasa utakuta 'mkali' darasani anapata GPA ya 4.2 au around that, wengine wakiishia lower second.
Lakini pia tusisahau kwamba baadhi ya walimu wa Uhandisi UDSM na DIT ndo hao hao wanaoenda kufundisha St. Joseph's as part time lectures.
Nimeleta thread ili tubadilishane mbinu ili graduates vyuo vingine nao wafaulu sana.
Kati yao, wengi wamegraduate either CoET (UDSM), DIT au St. Joseph's College of Engineering. Wapo wachache pia wa SUA (NB kuna Engineering pia pale).
Katika vyuo hivyo, nimegundua hawa wa St. Joseph's waliograduate juzi kati hapo kwa mara ya kwanza tangu kianzishwe (esp waliosoma 4 yrs), wamekuwa na GPA kubwa kubwa sana. Wengi darasani wamepata GPA za 4 point something zinazofikia hadi 4.8 , huku vyuo vingine vya Uhandisi graduates wake wakipigana hasa utakuta 'mkali' darasani anapata GPA ya 4.2 au around that, wengine wakiishia lower second.
Lakini pia tusisahau kwamba baadhi ya walimu wa Uhandisi UDSM na DIT ndo hao hao wanaoenda kufundisha St. Joseph's as part time lectures.
Nimeleta thread ili tubadilishane mbinu ili graduates vyuo vingine nao wafaulu sana.