ndugu zangu nisaidieni key VODA MODEM IMEI 356517032175203 ,model k3565-z, voda phone mobile connect.ZTE corparation.(nawashukuru sana DANSEL,AMBILI,na Drphone kwa ushauri wenu)
Usiwe na wasiwasi mkuu pata maelezo kidogo hapa, Mkuu hizi modem za vodavofone zinakuwa haziko unlocked ila kinachokuwa kimefungwa ni dashboard yake ( unayoitumia kucconect) sasa ukitaka kupiga laini zote yapasa uweze kuwa na dashboard iliyo free ambayo JF wengi wanatumia JOIN AIR haya download join air hapa http://rapidshare.com/files/434944746/ZTE_Join_Air-1.0.rar ukishaidownload then uko free kudondoka na mitandao yote: Note ukishafanikiwa rudi hapa na feedback ili tuende step nyingine mkuu: Usisahau kugonga senkyuuuuu mkuuuEngineers tuchakachue key VODA MODEM IMEI 356517032175203 ,model k3565-z, voda phone zte bado sijasaidiwa mpaka sasa
Usiwe na wasiwasi mkuu pata maelezo kidogo hapa, Mkuu hizi modem za vodavofone zinakuwa haziko unlocked ila kinachokuwa kimefungwa ni dashboard yake ( unayoitumia kucconect) sasa ukitaka kupiga laini zote yapasa uweze kuwa na dashboard iliyo free ambayo JF wengi wanatumia JOIN AIR haya download join air hapa http://rapidshare.com/files/434944746/ZTE_Join_Air-1.0.rar ukishaidownload then uko free kudondoka na mitandao yote: Note ukishafanikiwa rudi hapa na feedback ili tuende step nyingine mkuu: Usisahau kugonga senkyuuuuu mkuuu
je vodaphone k4505-z naweza kutumia hio dashboard ili kutumia line yoyote
dah nina modem ya voda wakuu heb nisaidieni...nafanyaje
note:mi si mtaalam wa it just have a normal knoweledge nikiwekewa njia naweza kufata
angalia aina ya modem uliyonayo.je ni huawei ama zte?behind ya modem yako imeandikwa.
imeandikwa Huawei Mkuu
Usiwe na wasiwasi mkuu pata maelezo kidogo hapa, Mkuu hizi modem za vodavofone zinakuwa haziko unlocked ila kinachokuwa kimefungwa ni dashboard yake ( unayoitumia kucconect) sasa ukitaka kupiga laini zote yapasa uweze kuwa na dashboard iliyo free ambayo JF wengi wanatumia JOIN AIR haya download join air hapa http://rapidshare.com/files/434944746/ZTE_Join_Air-1.0.rar ukishaidownload then uko free kudondoka na mitandao yote: Note ukishafanikiwa rudi hapa na feedback ili tuende step nyingine mkuu: Usisahau kugonga senkyuuuuu mkuuu