Uko sawa ila yapaswa ujue hiki kitu TECHNOLOGY AND SCIENCE FORUM yaani techonololjia na sayansi, Kwa haraka haraka utaona iende huko unakodhani, But engineering is about science bana. Asante kwa mchango wako, unakaribishwa tenakwa maelezo na maswali uliyouliza hii inafaa kwenda kwenye ajira na kazi. it has nothing to do with techonology
Ni mtazamao wangu tu