"Engineer" huyu kiboko...,

kama si slaa? mtoto wake, hahaha........................................h
 
hivi sana na hao mafundi wakati wanweka jukwaa walikua wanafikiria nini?? LOL
 
Mh hapo kiboko siyo Engineer peke yake... manake mpaka kitu kiwe concrete lazima team nzima imetoka jasho hapo..
 
Kama hapa nje panapoonekana pako hivi, huko ndani ya nyumba sijui kukoje. kazi kweli kweli..
 
upuuzi .. hakuna mkono wa engineer hapo/hizi projects ndogo ndogo za mitaani huwa zinachukuliwa kwa maelewano ya bei poa na mafundi uashi wa mitaani ambao hata veta hawakujui
 
Ndo taabu ya kila mtu kujiita ''engineer'' huko mtaani na watu kupenda kuwapa kazi mafundi uchwara. Rahisi ni gharama siku zote.

Hii si kazi ya Engineer aliyepikwa na kuibuka kidedea FOE, japo hata kwa ''pass'' na Sept conference za kufa mtu
 
Nimepata opinion hizi kuhusu hii picha
Opinion 1
Haiwezekani!
1. Nafikiri kwanza ngazi zilisahaulika
2. Likaja wazo la kuweka stairs ku-access first floor na ikawezekana
3. Huyo kichwa maji wa pili akataka ku-save costs akasimamisha mirunda juu ya ngazi za kwanza na akaharibu hata wazo la pili
4. Funzo…unaweza tumia mafundi cheap na uka-succeed mara moja moja ila siku iki-backfire ndo kama hivyo!
Opinion 2
Huyu Bwana Yuko Sahihi
Huyu Bwana alitaka kuwa na ofisi mbili, moja gorofa ya chini na nyingine gorofa ya kwanza, akamwabia designer wake unjaua hili jengo ni refu sana na ofisi zangu ziko karibu sana ila ngazi za ndani ziko mbali kule mwisho wa jengo na nitakuwa napoteza muda mwingi sana wa kutembea ninapotaka kutoka ofisi hii ya chini kwenda ya juu au kutoka ofisi ya juu kuja ya chini, nakuomba unifanyie utaratibu uniwekee ngazi ya nje ili niweze kutoka ofisi moja kwenda nyingine kwa muda mfupi, designer kamwekea ngazi fundi kaijenga. Baadaye likaja wazo la kuhamisha ofisi ya ground floor ihamie second floor, wazo lile lile la ninapokuwa ofisi moja nataka kwenda ofisi nyingine nitue muda mfupi likawa impemented and it is working. Wakaona hamna haja ya kuboboa gazi za kwaza kwa sababu hazimzuii yeye anapokuwa ofisini kuaccess ofisi nyingine kwa kutumia muda mfupi
Wakati mwingine tunaona fulani amekosea kumbe ni sisi hatujue lengo lake nini.
Don't look at it from engineering/architectural point of view
 
Hivi mbona mnatufanya hatuna akili??? hizo ngazi zinaishia chini ya ngazi MAMBO GANI HAYO!!!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom